Search results

  1. E

    Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

    Hii mada naomba iishie hapa.
  2. E

    Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

    Ok! 1. Kigezo cha kwanza na kikuu lazima awe idarani. Ikionekana kuna mtu anafaa zaidi nje ya idara ie JW,jkt au polisi basi lazima aingizwe idarani kwanza then anakabidhiwa jukumu. 2. Vigezo vingine kuna mdau kavitaja hapo juu ila cha muhimu zaidi kuna veting ya wakuu ndio inayodetermine...
  3. E

    Je, unazijua sifa za mtu kuwa mlinzi wa Rais?

    Walinzi wa raisi ni wengi na kawaida raisi analindwa kwa cycle. Hii cycle inaweza kubadilika kwa shift. Kwenye hii cycle wapo wanaoonekana public na wasioonekana. Sasa ww kuwa specific unataka sifa za ADC au hawa wengine ? NB: Ushawahi kusikia ajira ya udereva wa raisi au mpiga picha wa raisi...
  4. E

    Historia ya kushangaza kuhusu ugunduzi wa kondom

    Msijishushe w/ke usiseme walikuwa WANAFANYWA ila WANAFANYANA sawa mama ?
  5. E

    Kinana awaita Makapi wote waliochujwa na CCM kwenye Uchaguzi wa ndani

    Kwa kweli haikuwa kauli ya heshima kabisa na hii inaleta picha mbaya kwa watanzania kujua kuwa 1.makamu wa raisi wangu ni makapi 2.waziri mkuu nae 3. Mawaziri wengine 4. Majaji Hii inaashiria serikali yote ni makapi
  6. E

    WanaJamiiForums tunaokaa Tegeta tufahamiane

    Kibo wapi, Lounge au Club 71 kwa Wema Sepetu?
  7. E

    WanaJamiiForums tunaokaa Tegeta tufahamiane

    Hiyo ni Arusha sio tegeta, tegeta hakuna kwa mromboo
  8. E

    WanaJamiiForums tunaokaa Tegeta tufahamiane

    Unaishi kota za wazo ?
  9. E

    Ni kweli Waziri Mkuu Pinda hana maadili?

    Jaji nae hakuwa na maadili?
  10. E

    Misafara ya viongozi wa kitaifa: Kwanini iwe na mwendokasi ule?

    Chunguza na hili , kwenye msafara hasa wa raisi sio magari yote yanakuwa kwenye mstari kuna kama mawili hivi huwa yanatembea parallel kama mmoja anataka kumovertake mwenzake. By the way ngoja niachie hapa
  11. E

    WanaJamiiForums tunaokaa Tegeta tufahamiane

    Family bar , the best kitimoto I hv ever seen
  12. E

    WanaJamiiForums tunaokaa Tegeta tufahamiane

    Hahaha! Brazil amazing
  13. E

    WanaJamiiForums tunaokaa Tegeta tufahamiane

    Yeah, pana utulivu wa kutosha. No ya simu ntakuinbox
  14. E

    WanaJamiiForums tunaokaa Tegeta tufahamiane

    Hakuna malipo yeyote. Mahali inategemea ila mara nyingi nakuwa Ndege beach sababu population ya watu ni ndogo na privacy ni kubwa
  15. E

    WanaJamiiForums tunaokaa Tegeta tufahamiane

    Haha! Hisaje kwa wazee wa system. Ntakucheki mkuu
  16. E

    WanaJamiiForums tunaokaa Tegeta tufahamiane

    Teh teh ! Kwa Mtogole ipi ?
  17. E

    WanaJamiiForums tunaokaa Tegeta tufahamiane

    Nimefundisha wengi sana siwezi kujua idadi
Back
Top Bottom