Ok!
1. Kigezo cha kwanza na kikuu lazima awe idarani.
Ikionekana kuna mtu anafaa zaidi nje ya idara ie JW,jkt au polisi basi lazima aingizwe idarani kwanza then anakabidhiwa jukumu.
2. Vigezo vingine kuna mdau kavitaja hapo juu ila cha muhimu zaidi kuna veting ya wakuu ndio inayodetermine...
Walinzi wa raisi ni wengi na kawaida raisi analindwa kwa cycle. Hii cycle inaweza kubadilika kwa shift. Kwenye hii cycle wapo wanaoonekana public na wasioonekana. Sasa ww kuwa specific unataka sifa za ADC au hawa wengine ?
NB: Ushawahi kusikia ajira ya udereva wa raisi au mpiga picha wa raisi...
Kwa kweli haikuwa kauli ya heshima kabisa na hii inaleta picha mbaya kwa watanzania kujua kuwa
1.makamu wa raisi wangu ni makapi
2.waziri mkuu nae
3. Mawaziri wengine
4. Majaji
Hii inaashiria serikali yote ni makapi
Chunguza na hili , kwenye msafara hasa wa raisi sio magari yote yanakuwa kwenye mstari kuna kama mawili hivi huwa yanatembea parallel kama mmoja anataka kumovertake mwenzake. By the way ngoja niachie hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.