Naomba niwaulize hivi kifurushi cha 17,000/= ni channel zipi za maana mnazotuuzia? Azam 1, Azam 2, sinema zetu, UTV, MBC Plu Piwer na KIX? Ktk hizi chanel ni ipi mnaona kwamba ni chanel itakayobeba zingine kuendana na thamani ya pesa yetu?
Mmechukua league yetu ila mipira yote mmeweka kwenye...
Wakuu kwa hisani ya Wazazi wote wanaotaka kupeleka mabinti wao ktk mikoa ya Arusha na Moshi kujiunga na kidato cha kwanza 2024 tunaoma kujulishwa Shule nzuri ktk mikoa husika.
Shule inaweza kuwa ya mchanganyiko Boys and Girls.
Iwe private, ada isizidi milioni 3.
Natanguliza Shukrani...
Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar Mama yetu mpendwa Samia Hassani Suluhu sisi wafanyabiashara tunakuomba uondoe/utengue marufuku ya kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi maduka kufunguliwa saa nne.
Mh Rais hili katazo liliwekwa kwa madai kuwa wafanyabiashara wawe wanafanya...
Serikali au Wizara husika angazieni kwa kufuatilia uhujumu uchumi unaoendelea katika soko kubwa kabisa Tanzania la Kariakoo.
Utaratibu ambao sio rasmi ila unafuatwa upo hivi, Kariakoo kwa mtu anaetaka kuanzisha biashara. Kwanza kuonana na madalali na kuwaambia unataka kufungua biashara gani ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.