Jamani naombeni msaada kuhusu vyuo vya binafsi vya ualimu vinavyotoa stashahada ya ualimu sekondari-elimu ya michezo, kwa yeyote anaefahamu baadhi ya vyuo hivyo nijuzeniiiiiiiiiii
jaman mawazo na ushaur wenu wa kujenga, ishu ni kuelewa vtabu vzur na rejea za kutumia katka masomo ya history, geography, kiswahl na general studies vnavyolandana na muhtasar mpya-kidato cha tano na sita
Jaman natarajia kufanya mtihan wa 4m 6 mwaka keshokutwa as private candidate, so ni vtabu gan vzur vya ku2mia kwa upande wa history, geography na kiswahil, but zngatia muhtasari mpya, asanten 0762600121
Jamani linanisibu hili:
Kuna demu wa mshikaji ambae ananitaka kimapenzi kwa njia awezayo, na kila ninapokutana nae anamkana sana mshikaji kuwa hajawahi kutoka nae japo ni kweli demu katumika, so nifanyeje wana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.