Watanzania Tunaumwa nini? Tumwone Daktari!
Katika kitabu cha “Let the People Speak”, Profesa Issa Gulamhussein Shivji kuna sehemu anaongelea jinsi ambavyo Utandawazi unavyoua mifumo yetu ya elimu (Hali hiyo ameiita “African Intellectual Deficiency Syndrome” – AIDS). Vyuo vikuu imekuwa kama...
HAMPHREY POLEPOLE: IBILISI WA MTU NI MTU MWENYEWE
Historia ni mwalimu mzuri sana. Kuna mambo mengi sana tumejifunza kutokana na historia. Nikisoma historia ya harakati za uhuru wa Tanganyika na Afrika huwa napata msisimko usioelezeka. Lakini kwa upande mwingine roho inauma hasa katika kipindi...
Habari wadau!
Naomba mtu mwenye uzoefu katika kuuza dagaa kwa jumla (hasa kanda ya ziwa) anipe uzoefu wa biashara hiyo, ikiwa ni pamoja na kujua upatikanaji wa dagaa, maeneo ambayo dagaa nzuri zinapatikana, soko na changamoto za biashara hiyo.
Natanguliza shukrani.
ROMA AKIWA HARARE, MIMI NITAKUWA GABORONE.
Umbali kutoka Harare hadi Gaborone, Botswana ni kilomita 927, sawa na umbali kutoka Mwanza kwenda Mbeya, kupitia barabara ya Dodoma – Iringa. Huu ndio umbali utakaotutenganisha mimi na ROMA. Nimeona bora niende Gaborone Botswana kuliko kwenda Zimbabwe...
UZALENDO WETU NA MAPENZI YETU KWA VYAMA VYA SIASA.
Dunia imeagana na nyonga, inakwenda mbio sana. Kuna mambo unatamani yasimame kama yalivyo, yasibadilike. Lakini katu haiwezekani. Kuna watu unatamani waishi milele, lakini bahati mbaya au nzuri tuliumbwa kwa udongo na tutarudi kuwa udongo. Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.