Website ya BOT kuna sehemu haijaguswa kwa miezi 14, na administrators wanakula tu mishahara.
Bank of Tanzania: Official Public Holidays in Tanzania
Hizi sikukuu ziliwekwa mwaka jana tena January.
Kuna " promosheni" ya shinda PASSO na CRDB ukitumia SIMBANKING. Hivi kuna aliyewahi kushinda hii promosheni tangu ianze ? Kulikua na haja ya kuudanganya umma wa watanzania kwamba unaweka promosheni halafu gari huzawadii hata mtu mmoja....
Kwa yanayojiri General Tyre ningependa nione Dk Cyril Chami anabaki kwenye post yake ili tuone mwisho wa CHC na kina Lema ya Chami kuhusu fedha za mafao ya wafanyakazi zapata Tsh. Bilioni 15 zilizotumbukizwa General tyre zimezamishwa kwenye tumbo la nani na nini hatima yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.