saidyakub
Senior Member
- Aug 26, 2010
- 180
- 70
Kwa yanayojiri General Tyre ningependa nione Dk Cyril Chami anabaki kwenye post yake ili tuone mwisho wa CHC na kina Lema ya Chami kuhusu fedha za mafao ya wafanyakazi zapata Tsh. Bilioni 15 zilizotumbukizwa General tyre zimezamishwa kwenye tumbo la nani na nini hatima yake