Kampuni ya ulinzi ya 24 Security Tanzania Limited inatangaza nafasi za kazi mkoani Dar es salaam kwa vijana wenye uzoefu;
1. Askari wa Kirungu (Nafasi5)
2. Kiongozi (Nafasi2)
Maombi yatumwe kwa;
Meneja Mwajili,
24 Security (T) Ltd Box 33941 Dar es salaam.
Simu: 0774819712/3
Email...
Kampuni ya ulinzi ya 24 Security Limited inatangaza nafasi za kazi (3) kwa askali wa silaa (1) na askali wa miguu (2) kwajili ya kufanya kazi mkoani dodoma.
Kwa mawasiliano piga no. 0774819712
Habari wadau?
ninahitaji msaada kwa mtu anayejuwa mahali au mtu wake wa karibu anayeweza kuniprintia sign board ya prastic. size ni 30cmx50cm kwa muonekano inazidi kidogo kwa A4 size.
nina shida nazo kama 10 pcs tu
Habari wadau?vninahitaji msaada kwa mtu anayejuwa mahali au mtu wake wa karibu anayeweza kuniprintia sign board ya prastic. size ni 30cmx50cm kwa muonekano inazidi kidogo kwa A4 size.
Nina shida nazo kama 10 pcs tu.
Haya wadau, nafasi za kazi ya ulinzi tena hizi hapa, Dodoma nafasi(3) na dar es salaam nafasi (4) Kwa maelezo zaidi piga 0774819712 au info@24security.co.tz
Kampuni ya ulinzi ya 24 Security Limited inatangaza nafasi za kazi (4) kwa askali wa kirungu wenye uzoefu kwajili ya kufanya kazi keko.
Kwa mawasiliano piga no. 0774819712 au Barua pepe: info@24security.co.tz
Kampuni ya ulinzi ya 24 Security Limited inatangaza nafasi za kazi (4) kwa askali wa silaa (2) na askali wa miguu (2) wenye uzoefu kwajili ya kufanya kazi dodoma.
Kwa mawasiliano piga no. 0774819712 au Barua pepe: info@24security.co.tz
Kampuni ya ulinzi ya 24 Security Limited inatangaza nafasi za kazi (10) kwa askali wa silaha (5) na Wa mbwa (5) wenye uzoefu kufanya kazi jijini Dar es salaam na dodoma kuanza kazi mara moja. Waombaji lazima wawe wamepitia mafunzo.
Kwa mawasiliano;
Simu. 0774819712
Barua pepe...
Kampuni ya ulinzi ya 24 Security Limited inatangaza nafasi za kazi (3) kwa vijana wenye uzoefu kufanya kazi jijini Dar es salaam kuanza kazi mara moja.
Kwa mawasiliano piga no. 0774819712 au Barua pepe: info@24security.co.tz
Hi everybody, natafuta Mwanamke ambaye tunaweza komaza mahusiano, umri 20 to 27 mm ni mkazi wa hapa tanzania for more than 12yrs sasa. origated from Tw. Unaweza PM.
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.