Ukiacha uana siasa Shukuru ni PhD holder. Kweli awe dalali wa viwanja? Mtu kahudumu pale UDSM akose hata papatu papatu za mafao ya NSSF awe dalali? Nadhani kwa Tz elimu yetu haijawa saturated hivyo.
Issue sio udalali hapa. Malori ya mchanga yanaingia kwenye eneo lenye barabara ya kuingia kwake na pia kwenda shule ya sekondari na kufanya uharibifu wa barabara. Yeye Kawambwa na huyo mwingine aliyedhalilishwa DSO Mstaafu wa Kawe na Bagamoyo Madondola waliamua kuweka vigogo vya mnazi ili malori...
Suspension bridge huwa kuna nguzo kila baada ya umbali fulani. Sasa imagine nguzo ikae kwenye kina cha 1,340m hiyo ni kilomita moja kwenda chini. Na urefu wa daraja useme ni km 3 sasa utakua na nguzo ngapi? yani nguzo tu urefu wake unaweza kuwa jumla ya km 20 kwenda chini
Kwanza nimpongeze mama kwa kuona uzi huu.
Hivi una block namba mpya zote kisa mapenzi. Huna dharura yoyote au ishu nyingine zitazokuja kwa namba mpya? Kijana acha kuendeshwa na mapenzi. Toa block msikilize toa msimamo wako.
Kama unampenda chakata mbususu hiyo
Sijawahi kuelewa kwa nini serikali ilijenga viwanja viwili vyenye matumizi sawa sehemu moja.
Yani serikali nayo haitaki kutafuta maeneo mapya wanasema tutabanana hapa hapa
MBona sijaelewa. Hiyo bilioni 2 ni hizo nyumba kwenye geti tu au pamoja na hizo barabara na kiwanja cha ndege kidogo?
Maandishi na maneno aliyoongea ni tofauti au hajui kujieleza?
Wengine wana matatzo yao pia na aina ya pombe.
Halafu kunywa kiasi na kunywa kistaarabu ninmambo mawili twafauti. Inawezekana alikua akinywa anakunywa nyingi mno lakini bado anakua mstaarabu ila kazidisha kiasi.
All in all sisi tunaokunywa tunatambua pombe ina madhara na kama hunywi usijaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.