ivi mtu anahamasisha uchomwe moto akiwa mbali, wewe upo na kampeni meneja wake unzchekelea badala ya kutoka nduki!!! acha kutuzuga wewe utacheka pembeni!! na kwann hukuchomwa!!
wadau habari za leo
nna shida ya kutaka kufahamu kuhusu namna TRA wanavocharge ushuru wa magari toka japan hasa yale yaliyozidi miaka kumi tangu tengenezwe yaani uchakavu unachajiwaje,kuna fomula flani au inakuaje ya 1995 itatofautianaje na ya 1999 kwa ushuru wake
asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.