Nina miaka 33, elimu yangu ni chuo, mkristo na nimeajiriwa.
Natafuta binti mwenye umri kati ya miaka 25 hadi 31, awe mkristo mwenye elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea, awe ameajiriwa au kujiajiri.
Ikiwa wewe unajijua ni potential woman to be a wifey tafadhali ni PM
Mimi natafuta mchumba lakini awe muislamu mwenye itikadi kali kama mimi, ila naona 22 ni mdogo, lakini inategemea how mature someone is kiakili so lets communicate. :eek:,
ila mahari bana isiwe kuuuubwa,:bump: na harusi ya kiislamu hakuna mdundiko wala muziki.
Usikate tamaa, ila sidhani kama kutafuta kazi online au magazetini inatosha. Weka appointment Kutana na Ma HR, drops CV fanya msako wa nguvu, ikiwezekana......HONGA...lol
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.