Search results

  1. W

    Wanawake nawaheshimu kwa hili jambo

    Nimemuuliza Mama mmoja mjamzito kwanini pregnant women wanapenda sana kuzurula/kutembea akasema mtu hawezi kukaa sehemu mmoja tu.Kuzunguka inaondoa msongo wa mawazo,pressure na vilevile kumfanya mjamzito ajione yuko sawa na watu wengine.
  2. W

    Waliosoma Weruweru watamba kutoa rais wa kwanza nchini

    What has Tanzania learnt from having a first woman Speaker?
  3. W

    Wasukuma! wasukuma!

    "wanaopokelewa kishujaa" huwa wametuma fedha kununua watu na kugharimia ulaji huo wa muda mfupi ili kujipa moyo kwamba bado wana social constituency base. Otherwise Wasukuma ni watu walioamuka na sasa hivi hawataki Magamba kabisa.
  4. W

    JK zungumzia haya kwenye hotuba yako ya mwisho wa mwezi July

    JK asihangaike kutafuta maelezo magumu juu ya matatizo yanayolikabili taifa sasa hivi. ataumiza kichwa bure. Yeye aseme tu kwamba matatizo yote yanayolikabili taifa hivi sasa yanasababishwa na vyama vya Upinzani. Mgawo wa umeme, rushwa bungeni, kupanda bei ya mafuta, ufisadi n.k vyote...
  5. W

    Samaki wenye sumu ya mionzi ya nyuklia waingia Dar

    Ilikuwa kupanda bei ya mafuta na gharama za maisha, baadaye ukaja mgawo wa umeme, juzi tu matumizi ya rushwa kupitisha bajeti bungeni. Leo kuingizwa samaki wa sumu nchini! Jamani Tanzania inaelekea wapi? nchi ina viongozi kweli?
  6. W

    Maandamano ya kumlaani Spika Makinda

    Naunga mkono umma wa Watanzania (ukiacha wachache wanaofaidika na mfumo uliopo) waje juu na wapinge kwa namna zozote zile yakiwemo maandamano kuwepo kwa Spika kama Makinda ambaye hafai kutupleleka karne ya 211
  7. W

    Aliyekuwa makamu wa raisi uganda kortini kwa ufisadi

    Wenzetu wanavuana magamba kisha unafikishwa mahakamani. Sisi Tanzania mtu anaombwa ajivue gamba mwenyewe kisha aendelee kula raha uraini
  8. W

    Hivi Kuna Haja Gani JK Kwenda Kuhudhuria Mkutano wa ILO wakati kuna Waziri wa Kazi

    Pamoja na kukwepa kutatua matatatizo ya ndani ya nchi na ugumu wa kuongoza nchi miaka minne iliyobaki, msisahau suala la posho za safari jamani. Siyo kila kiongozi anapenda posho zimpite
  9. W

    Barua: Zitto akataa posho za vikao

    Je, waandika HANSARD wataripoti vipi michango atakayotoa Zito bungeni bila kusaini kwenye kitabu cha mahudhurio?
  10. W

    CCM Arusha kwatifuka: Mary Chatanda akataliwa; yeye asema "sing'oki"

    Hayo mapigano ni sehemu ya mkakati wa kujivua magamba au? na kama wangepigana wajumbe wa chama kingine, mfano cha Upinzani, ungekuta tayari wachakachuaji wa taarifa za kiintelijensia wanakamata watu na kuwasweka ndani na kuwafungulia kesi zisizo na tija. Mna bahati wenzetu kwa vile Polisi...
  11. W

    Viongozi hawawezi leta Maendeleo - Mkapa

    Well said Mzee Mkapa. Sasa hivi uko kwenye nafasi ya kujua ukweli ni upi na usanii ni upi. Zaidi you have a legacy of positive achievements Watanzania wanaona na wanakumbuka
  12. W

    Safari za nje za Mhe. Rais Kikwete 2010 - 2015

    JK ana mkakati wa makusudi wa kusafiri nje kila mara ili kukwepa kuulizwa au kushughulikia masuala ya ndani mfano: tatizo sugu la mgawo wa umeme, hali duni ya maisha ya watu (isipokuwa rafiki zake), migogoro maeneo ya machimbo, mauaji ya raia yanayofanywa na polisi, kuongezeka kwa ushawishi na...
  13. W

    IGP mwema na tuzo ya Amani

    Hata madikteta huwa na nishani nyingi nyingi tu.Kinachofanyika siyo kitu kipya ila kipya kitatokea siku za mbele Watanzania watakapopata uongozi tofauti unaojali maslahi ya taifa na si ya vikundi maslahi, tuzo hizi zitageuka kuwa vyeti vya aibu na laana
  14. W

    AJABU: Chenge aitetea DOWANS ilipwe!

    Hii ni uthibitisho mwingine kuwa viongozi wetu wengi hawana uzalendo na nchi yetu au pengine hatuna viongozi kabisa. wako kama mamluki (mercenaries) vile, wanajijali wao tu na si wananchi wenzao au majirani na cha ajabu these are frequent church or mosque goers!. in the words of Achebe majority...
  15. W

    Mkapa appointed to UNCTAD eminent persons panel

    hii inatoa funzo kwa waliopo madarakani. nadhani wafanye bidii zaidi kujenga uchumi na wasiishie kwenye kupewa u "dokta" na cheap politics
  16. W

    Ni aibu kubwa mwanasiasa kujidhalilisha kiasi hiki...

    Hivi UPDP ni chama kinachomwakilisha nani hasa, kina madiwani wangapi, wabunge wangapi na kiko katika mikoa ipi hapa Tanzania?
  17. W

    Fedha za Radar Kurudishwa: Mgogoro kati ya BAE, TZ na UK

    Serikali yetu ni ya ajabu sana. Sasa hivi inadai ipewe chenji ya ununuzi wa rada wakati imeshindwa kuwashtaki vigogo walioingiza nchi yetu katika kashfa hiyo ya rushwa!
  18. W

    Mukama amponda Dr. Slaa Asema ni mchanga katika Duru za Siasa, Chadema ni hodari kusema Uongo

    Mukama anapokosoa mabadiriko yanayotokea Misri anakuwa amesahau kuwa hadi sasa Waziri wa zamani wa mambo ya ndani Misri keshafungwa miaka kumi na zaidi jela pamoja na kuamuriwa kurudisha fedha za umma alizofisadi? Mukama atueleze kama serikali ya genge lake la chama cha magamba wanaweza...
  19. W

    Mugabe anguruma msibani

    Huyu anatumia elimu yake aliysoma kuwainua wananchi wake. Angalia logic anazotumia kujenga hoja. Hivi inakuwaje viongozi wetu na u "dokta" wao hawaonyeshi uchungu wao juu ya maslahi ya wananchi? Au wao walisoma shule tofauti na alizosoma Mugable?
  20. W

    Confused or divided Government?

    Mwanzoni mwa Anguko la Uchumi Duniani (Economic Crunch): Rais: Matatizo yanayosababishwa na anguko la uchumi hayatatuhusu wala kutugusa. Uchumi wetu hauko linked na uchumi wa nchi za magharibi Baadaye: Rais: Tunakabiriwa na hali ngumu ya kimaisha kutokana na kuporomoka kwa uchumi wa dunia!
Back
Top Bottom