Nasikia kunauwezekano wa kupandishia master ya facult ambayo hujasoma degree yake, mfano umesoma civil eng then ukachukua master ya computer eng au hata upharmacy kigezo kilichopo ni combination uliyomalizia Advance, naomba ufafanuzi zaidi katika hili wakuu.....!!!!
Kwa mwanachuo yeyote wa united african university of tanzania naomba anipe info za chuo kidogo, kwasababu naona sipati updated document internet znazohusu hch chuo kw xaiv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.