Search results

  1. B

    Mafunzo ya kilimo kwa vitendo

  2. B

    Kwanini uwe maskini

    Umaskini unaletwa na kutaka kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja. Chagua kimoja unachokiweza na kukipenda kifanye kwa juhudi na ubunifu.....Hivyo hivyo katika taaluma huwezi kuwa eng. Dkt. Mtaalam wa kilimo n.k. . Chagua kimoja na kifanye na mwache Mwenye taaluma husika afanye kazi yake pale...
  3. B

    Natafuta drilling machine ya PVC

    Wadau kama unajua wapi maweza pata hiki kifaa naomba nielekezwe ama kama umachopia itakuwa poa sana. Mm npo dar
  4. B

    Kwa wamiliki wa makampuni

    [emoji43] [emoji43]
  5. B

    Mahali gani naweza kupata GPS?

    Wadau mambo vipi? Kwa anaejua mahali gani naweza pata GPS ya kununua tafadhali naomba unisaidie kwa kunipa location ama namba za wahusika...
  6. B

    Duka la pembejeo za kilimo

    wadau naombeni msaada kwa anaejua utaratibu Wa kufungua duka la pembejeo za kilimu...Ni vigezo gani hutumika Ila mtu awe na sifa ya kufungua duka????
  7. B

    Faidika na horticulture

    Ongezeko kubwa la mahitaji ya matunda na mboga limefanya kilimo cha horticulture kukua kwa kwasi na kuwanufaisha wakulima wengi.... Watalam Wa Kilimo hicho wanawaletea Huduma maalum ya kitaalam ili kuwezesha Mkulima kunufaika kwa gharama ndogo na kukufikia popote ulipo ..Tembelea blog yetu...
  8. B

    Kufungua kampuni

    Wadau mambo vipi? Kwa wale wenyeuzoefu na taalumu katika swala la makampuni ninaomba nijuzwe ni jinsi gani ninaweza fungua kampuni na taratibu zote zinazotakiwa pamoja na mambo ya share holders..
  9. B

    Abortion

    Nashindwa elewa kwa nini wadada wengi hasa vyuoni wanafanya abortion..* Ebu nsaidieni n nn hasa sababu***
  10. B

    Kilimo cha bustani

    Hivi ni kwel kilimo cha bustani kinaweza kumtoa Mtanzania katika umaskini?? Ni juhud gani zinafanywa na serikali kumkomboa mtanzania anaejishughulisha na kilimo biashara????
Back
Top Bottom