Habari,
Hili jambo limenitesa miaka nenda miaka rudi, natamani lifike mwisho.
Wakati naingia kwenye mahusiano na huyu ambae ni mume wangu sasa, alikuja binti mmoja ambaye alikuwa ndo kamaliza form 4 (mdogo wake) akaanza kusoma cozi kwenye chuo flani.
Nikapata ujauzito so ikabidi nilete binti...
wakuu
Nimepata frem kwenye eneo la shule mwanzoni wakati naitafuta nilikua nataka kuweka saluni ya kunyoa ila wameniambia saluni hapana maana lile eneo vyakula vinapikwa sana kwa hiyo itakua haiendani na hiyo biashara.
kwa hiyo wameniambia niangalie ingine.kwa pale ki ukweli wanafunzi ni wengi...
Katika pita pita zangu nilikutana na jamaa mmoja mtu mzima kidogo ashawahi kuwa flani katika serikali miaka ya nyuma tukawa marafiki.
Leo tukaenda lunch akanipeleka kwenye hotel flani very private ambayo yeye ni member
Aise mazingira yalikuwa yanatisha kwani kuna ukimya sana lazima uwe na...
wewe dada vitu vyako unauza ghali kuliko kawaida kwa kigezo unalipa kodi? kodi ipi
lakini pia juzi ulipost kwamba watu wajiandae kwa upotevu wa makontena kama walipitisha bila kulipia kumbe na wewe ni mmoja wa mapapa naam ni mmoja maana ushampost sana "yule jamaa anaesafirisha bidhaa...
nataka nijiunge na timu ya kikapu maeneo ya hapa napoishi
nimeshawishiwa na kocha wa timu,kimo na mwili kasema ndo unaoitajika
swali sasa ni je huu mchezonuna future nzuri kwa mwanamke???
Mwenye sifa zifuatazo;
. Awe na umri kuanzia miaka 30
. Mcheshi
. Elimu haijalishi awe na kazi
. Kuwa na mtoto haijalishi
- Uje PM..
Wasifu wangu:
Nina 25
Nina shahada ya kwanza
Nina kazi
Naishi mwenyewe
Nitakupa maelezo yote PM..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.