Lejea na ombi hapo juu..mim ni kijana niliepata bahati ya kuchaguliwa pale out ..shider niliokumbana nayo ni kwamba sina na sijui nitapata wpi matereal.kwa yeyote alie na uelewa naomba anisaidie hata kwa pesa ..njoo tutengeneze group..nibip kwa namba 0714098138
Friends naomba msaada . Nimechaguliwa pale OUT university. Lakin mpka sasa wanaleta chenga nying kufanya usajili mara. njoo kesho mara majina yamepelekwa NACTE.
Kwa yeyote mwenye taarifa za kuanza usajili anijuze tafadhali
Habari,
Waungwana nilimepata college kwa kupitia NACTE Je! nikitaka badil collge nitumie procedure za tcu ama zipo pia za nacte, Plz nisaidien kabla muda haujakwisha
Nyie nakte mmenipa aibu ya mwaka...mtaa mzma wanajua nasepa collg pale mzumbe but not selected. .kwa majina yao...ushauri tafadhali ninaweza omba open kwa mda huu na nikapata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.