Lkn angeululizwa kwanza labda kapewa na rafiki yake na yy akaijaribu kwakuwa huenda jamaa hamuandai vzr anakuwa anaumia by the way c alitumwa cm?yy kayataka mwenyewe
ndoa ni akili lkn c akili ya kubadilisha majina,unabatizwa mara ngapi??mie sioni kama ni ishu saaana,mtu anayetaka kubadili afanye hivyo binafsi mimi hapana nina 10yrs kwenye ndoa ila cjabadili no problems,elewaneni tu
yaani hapo tukubali kuwa michepuko lazima maana mtu anayesubiria mwanamke awe kichwa cha familia kero haziishi na mwishowe lazima pumziko litafutwe ila ki ukweli tabia hz zinakera mbaya
PHD ndo nn?nan alomwambia kwenye mapenzi kuna hayo masuala,nina wasiwasi na uwezo wake wa kufikiri hapo anachanganya maisha ya ndoa na elimu,kama ameamua kuoa tena alijua kiwango cha elimu cha aliyemuoa huo ni ulimbukeni akasome sociology huko!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.