Nataka kuingia Katika biashara ya kuku WA kizungu naitaji kupata assurance ya masoko
Kwa walio dar naitaji kujua masoko ya kuku wa kizungu.
Naitaji kuanza na kuku 500.
Nitafurai nikipata mawasiliano ya wanunuaji kuku
Biblia Katika Mhubiri Inaandika "Hayo yote nimeyaona, nami nimetafakari moyoni mwangu kila kazi ambayo imefanywa chini ya jua, wakati ambapo mwanadamu amemtawala mwanadamu mwenzake kwa kumuumiza."
Bila shaka si kila mara waandamanaji hupata wanachotaka. Kwa mfano, huenda viongozi wakawaadhibu...
Vitabu vya dini vinasema kuwa mwenye masikio na hasikie na mwenye macho haone.
Ukiingalia historia ya wana wa israel VITA aikuwa walipokuwa wanaenda nchi ya ahadi ila vita ilitokea baada ya kuipata nchi ya ahadi. kwa sasa watu wanaoma uku kwenda uku ni jambo la kawaida ila watu awa uanza kuwaza...
Free Airflow about: 4m³/min (cubic Meter per minute) or 140 cfm (cubic feet per minute)
A little bit less is also ok, more is also good
Screw air unit
3-4 piston engine
Mwenye nayo tuwasiliane...Unipe na bei
Sizonje kiukweli watu wanalia kama asemavyo mrisho mpoto kwa kubainisha kuwa watu wanalia tofauti lakini msiba ni mmoja.
Lakini ningependa kukuambia Mpoto Asiyekujua hakuthamini kwa kuwa Cha kichwa kitamu, na cha mkia kitamu kwani waswaili wanasema "Chetu si changu, usitumaini cha mwenzako"...
Katika mambo ya haraka haraka ambayo niliwaza no Serikali kutokwamisha shughuri zote za kazi katika sekta ya Madini kwa kuteua watumishi Wa Tra kukusanya kodi kwa sasa baada ya TMAA kusimamishwa na wala sio kusimamisha shughuri ambazo wanaunufaika ni watanzania pia katika maisha ya kila Siku...
8 Reasons To Own Gold
A history of holding its value
Weakness of the U.S. Dollar
Inflation
Deflation
Geopolitical Uncertainty
Supply Constraints
Increase Demand
Portfolio Diversification
Tukaribie kuelewa rasimali zetu na namna ya kuwekeza.. Bonyeza apo chini kusoma zaidi
Understand Gold...
Biblia inaonyesha Tangazo ambalo Habakuki nabii aliona katika maono: kwa kusema Ee Yehova, nililie msaada mpaka wakati gani, nawe usisikie? Nitakuomba msaada kutokana na jeuri mpaka wakati gani, nawe usiokoe? Kwa nini unanionyesha jambo lenye kudhuru, nawe unaendelea kutazama taabu tupu? Na kwa...
Opportunity for all people who are in mining sector, Click the link below to download and fill registration form
Conference: Business Trip of German Mining Industry to Tanzania
Ikumbukwe kuwa kila mwanadamu ana kile ambacho anakiamini na anaweza kuelezea jambo kwa kile ambacho anakiamini.
Katika kuelezea vile ambavyo naamini jinsi navyoelewa kuhusu uongozi kwa dini nayoamini ningependa kuanza kwa kunukuu matendo ya mitume 27:10 “Waheshimiwa, nahisi kwamba safari hii...
Free air flow: 4.5m3/min, Operational pressure: 7 bar
Also I need to know how many working hours it has and age and if it is a piston or srew compressor
Mobile: Sita, 73- Hamsini 3612
Waswaili wanasema asiyeona nafsi yake Haoni akionyeshwa... Kila anayezungumza anazungumza raisi vile Raisi ivi...Flani kafanya vile kafanya vile inakuwa ngumu kujua awa watu wanamaanisha nini au ndo tushike yale maneno ya mwalimu kuwa liishalo ni Dogo kuliko linalokuja....Akuna jinsi maisha...
This is a devil's advocate position I'm taking, despite my phrasing things as though I'm certain. It's easier to work this way, as opposed to saying each time all my uncertainties.
I'm questioning that a government actually should be hands off when it comes to the law. In other words, I'll...
I've been having a few disturbing thoughts. I need someone to slap me down and explain why I'm wrong.
Every value that we hold dear requires effort to gain and keep. We must fight entropy. We must fight comfort. We might struggle through the pain to get it. How can we live this way and still be...
Is there such as thing as "human nature," and if so, is it accurate to state that it is selfish?
Human nature" is an ill-defined concept. By my best understanding, it can be thought of as a collection of psychological and physiological attributes of human beings which exist prior to any sort of...
Over the past several years, efforts have been made to persuade both national and international corporations to locate their businesses Tanzania. However, one of the challenges that Tanzania faces are how can Tanzania movement, especially with East Africa’s emerging markets, not become an...
Some of the most promising prospects in all of Africa today are no doubt to be found on the East African oil frontier. Up to the very recent past, oil and gas in East Africa has mostly been unknown in the oil and gas industry.
It is only in recent years that almost all countries in East Africa...
Compared with Tanzania’s large-scale mining, the country’s artisanal mining sector is smaller in terms of the value of its output but far larger in labour absorption. According to the World Bank 2011 sponsored census estimated that there was 680,000 artisanal miners in Tanzania .
Definitions...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.