Search results

  1. R100

    msaada

    Naomba kusaidiwa hili swali la kiswahili kwa anayejua. SWALI......Athari hasi na chanya za fasihi simulizi katika kufaraguza fasihi andishi ya kiswahili ya hivi leo
  2. R100

    Waliofanya transfer

    Naomba mnisaidie kwa hili je waliofanya transfer mkopo wao wanaweza wakaupata baada ya mda gani na je baada ya kuhakikiwa na TCU tutajuaje?
  3. R100

    Kuhusu mkopo

    Naombeni msaada nimefanya transfer lakini leo nimeangalia kwenye account yangu ya loan nimepata mkopo,je nitaupata mkopo wangu katika Chuo nilicho hamia?
  4. R100

    Kuhusu transfer

    Hivi kama nimesha sajiliwa katika Chuo ninachotaka kuhama kuna uwezekano? Msaada tafadhali
  5. R100

    Kuahirisha mwaka wa masomo Chuo kikuu 2016

    Hivi kama mtu amepangiwa chuo lakini kutokana na hali ya maisha akakosa hela ya kuanzia na akaamua kuahirisha mwaka hadi mwakani atakuja kuapply tena vyuo hiyo mwakani au inakuaje?
  6. R100

    Maombi ya Chuo 2016/2017

    Samahani wanajukwaa naomba kuuliza hivi eti inafaa kwenda chuoni moja kwa moja kuomba nafasi wakupangie hapo wakati umesha apply vyuo vengine unasubiri tofauti na hicho??
  7. R100

    Ushauri wa vyuo nilivyochagua second round

    Naombeni ushauri wa vyuo hivi nilivyo chagua second round kama nimekosea kuchagua inaeza ikanisababisha nikose naombeni mnisaidie
  8. R100

    Account ya TCU

    Naombeni mnisaidie kwa hili je account yangu ya tcu baada ya kuchagua vyuo hamna sehemu pa kucomfirm au ndio naacha vilevile naombeni msaada mimi bado mgeni kwa haya mambo.
  9. R100

    Grade zitakazotumika kupanga matokeo ya kidato cha sita mwaka 2016 ni zipi?

    Naombeni msaada kwa hili je grade zitakazo tumika kwa matokeo ya kidato cha sita mwaka 2016 ni hiziau ni hizi
  10. R100

    Usajili wa ACSEE

  11. R100

    Upangaji wa matokeo mtihani wa kidato cha sita mwaka 2016/2017

    Nmeskia kwamba kwa combination za arts yani hkl na hgl watatumia grade tofauti na combination nyengine mwenye uhakika na hili naomba anisaidie
  12. R100

    Application za mikopo ya elimu ya juu 2016 zitaanza lini?

    Hivi inachukuwa mda gani kufunguliwa kwa system ya kuapply mikopo baada ya mtihani wa kidato cha sita naombeni msaada
  13. R100

    Cheti cha kuzaliwa na cheti cha form four

    Hivi kuna madhara gani kama jina Katika cheti cha kuzaliwa linatofautiana na cheti cha form four naombeni msaada
  14. R100

    Kufanya mitihani Private Candidate

    Hivi kuna faida gani na hasara gani za kufanya mtihani kama private candidate(pc)kwa huu mfumo wa division kwa upande wa kidato cha sita naomba ufafanuzi jamani kwa mliofanyaga mtihani wa kidato cha sita kama pc kwa mfumo wa division kwa kipindi hicho.
  15. R100

    Mfumo wa division kwa advance

    Naombeni mwenye kujua huu mfumo wa division kwa upande wa advance alama zake zikoje?
  16. R100

    Mfumo wa Division

    Eti kwa huu mfumo wa division principle pass zinazo muwezesha mtu kuendelea na degree zina kuwaje??naombeni msaada.
  17. R100

    Division four ya 32 2013

    Nimesikia eti wale wenye division four ya 32 mwaka 2013 yenye credit tatu walioko form six wanasajiliwa kama private candidate mweye ukweli was hili naomba anifahamishe
  18. R100

    Kwa Division four point 32 anaweza kuendelea na Form V?

    Kuna mdogo wangu nimempeleka shule ya private, form five kwa iyo dision four je kuna tatzo ingawa ana credit tatu. MSAADA TAFADHALI YANI NIKO NJIA PANDA JAPOKUWA DOGO ANAENDELEA KUSOMA. Nawasilisha.
Back
Top Bottom