Nadhani wamesahau simba ndo baba wa mpira wa kimataifa kwa bongo.Ndo timu ya kwanza A.mashariki kumtoa zamalek akiwa nyumbani,timu ya kwanza kucheza fainali ya kombe la caf.Hivi mnakumbuka mlivyopigewa sita ally mayai akidaka mpira kama kipa baada ya mpira kumshinda joseph katuba
Kuna siku kwenye pitaipita zangu nilikutana na huu ubishi,watu walikuwa wakibishana nani mkali kati ya mrisho ngasa na edibily lunyamila basi nami nikaona nilete hii hoja kwa wana JF.Kwa upande wangu me nadhani lunyamila alikuwa juu zaidi ya ngasa wa sasa.:lying:
Me sijamwona mwenye afadhali kati ya hao wote wawili.kaseja hana mawazo ya kufikiria kiundani zaidi ndo maana mechi na misri akampanga ambaye hakuwahi kudaka hata mechi moja kwenye ligi(barthez).Hivi m2 aliyelelewa kwao kwa karibu miaka ishirini unaweza kumbadilisha tabia ghafla, labda hao...
Yani kama huyo mwalami katuuza mechi ya ya brazil na kwenye kombe la chalenge.mapunda alimkimbia kaseja alipoenda yanga na huyo shabani dihile bora 2 nikaye kimya.Eti kocha unampanga golikpa ambaye hakudaka hata mechi moja kwenye ligi(bartez) Hizo ni akili kweli wakati wakina shabani kado walikuwepo
Kaka haupo sahihi, kuwaeleza raia ukweli angeonekana vp hana nidhamu.Kutongaza kwake ndo kulimfanya yeye aonekane mnafki,na kuhusu hizo habari za wa2 wa karibu mbona yameshaongewa mengi coz binadamu hakosi cha kuongea.wapo wanaosema kaseja na maximo walikutana ugoni,wapo wanaosema kaseja...
Kaka me ninavyojua maximo mpaka anaondoka hakuwahi kutangaza utovu wa nidhamu alioufanya kaseja na yameshaongelewa mambo mengi kuhusu kilichomtoa kaseja stars maximo ndo mwenye ukweli moyoni mwake.Tena kwangu mimi naona maximo hakuwa sahihi ilitakiwa atangaze hadharani utovu wao wa nidhamu...
Je unawakumbuka paul gazza,paul ince na boban wa crotia kwa kiwango chao kibovu cha nidhamu lkn walifanikiwa kuwika ktk timu ya taifa.pia nadhani hamna asiyemjua rooney mtoto mtukutu kama ferguson angeamua kutompanga kwa sababu ya utukutu wake leo angekuwa wapi na hakuna asiyejua mchango wa...
anaweza kuelewa maelekezo anayopewa,je ana uwezo wa kutenda alichoelekezwa.mfano unaweza ukamfundisha mtoto jinsi ya kujenga ghorofa ila je ana uwezo wa kulijenga.:disapointed:
kuelewa wanelewa ila kumbuka kuelewa ni tofauti na kutenda ktk boli unaweza kuelewa unachoambiwa ukifika ground ukafanya maambo tofauti hii inatokana na akili yako imekuwa vipi kisoka
Hatimaye mchezaji Mtanzania aliyekuwa akicheza soka la kulipwa nchini Sweden Haruna Moshi amerejea nchini na kusema hana mpango wa kurejea tena nchini sweden.
Tunaomba Agent wake aongee ukweli na si kuficha. Kwani kuna wanaosema alikuwa akipokea fedha kidogo kutokana na makato makubwa ya kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.