Huyu hakuwa balozi bali alikuwa mwanachama wa FISIEM kutoka china, aliyekuja kufanya harakati za kukuza chama cha magamba, Mwacheni aende ila ni lazima arudi kuishi bongo maana nasikia kaishapewa eneo kwaajili ya kuja kuishi ma kufanya biashara
Baada ya kueleza hayo, Wakili wa Manji, Hudson Ndusyepo alimuuliza shahidi huyo kwa nini dawa za kulevya (Benzodiazepines) alizozitaja Mkemia Mkuu ni tofauti na zilizotajwa kwenye hati ya Mashtaka (Heroin) ambapo shahidi huyo alijibu hajui na yeye hakuandaa hati ya mashtaka.
Shahidi wa pili...
Wezi wakubwa ni Oil com hilo halina ubishi kuna ile shell yao ya manzese ndiyo hatari zaidi,
Shell ambayo huwa najaza mafuta na roho huwa safi bila wasiwasi nawashauri nendeni shell za VICTORIA popote pale jamaa wapo vizuri sana kuanzia quantity hadi quality ya mafuta.
Huu ndiyo Muda wa kutetea FAO letu la Kujitoa, Maana wakati tunajiunga hakuna Option iliyokuwa inasema kujitoa au hadi miaka 55 ya kustaafu. hiyo hela ni muhimu sana kwa sisi wa maisha ya kuunga unga.
Ndiyo maana hawataki kuwapa wafanyakazi mafao yao baada ya kuacha au kuachishwa kazi yamekalia kula michango yetu na kujipendekeza kwa serikali kwa kuwapa hela ya kujenga ofisi dodoma.
Wewe ni mmoja ya wale wanaotumia makalio kufikiri Ila nakuombea uendelee hivyo hivyo kusikia msiba kwa wenzio usiombe ukakukuta..... lisingetokea hilo tetemeko hizo hela wangepata wapi. yaani ni sawa sawa na hela ya rambi rambi uende ukaifanyie starehe halafu waombolezaji unawaacha njaa msibani.
Huo ni Uwongo saizi ameacha kushanga anaanza kutaka kupangua miradi ya Boss wake...ccm ndo walitoa hiyo ardhi halafu kwanini asiwarudishie saiz kuonesha mfano kwani hadi achaguliwe ndo afanye,Ahadi za bunuhasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.