Ni kweli kuna Uzembe nimeuona, ni kama loop hole...
Hivi Rais aliyepo madarakani akiugua akalazwa anakuwa chini ya uangalizi wa Nani?
Je ni Jeshi, TISS au vyombo vyote?
Madaktari wanaomhudumia ni wa wapi? Raia au mfumo?
Maana tunaambiwa JPM alihamishiwa Mzena, Je, kutoka wapi? huko alipokuwa...
Nahitaji Mke aliye serious kuolewa.
Mimi nina miaka 36
Mkiristo.
Nahitaji mwanamke mwenye akili ya maisha sana, asiwe na Kiburi, mke muunganisha familia yani ajue kwamba mimi sipo peke yangu nyumbani kwetu, kuna ndugu zangu wengine ambao itabidi angalau mawasiliano mazuri yawepo, nimebaki na...
Je sababu zifuatazo zinatosha kumuacha mke?
1: Kiburi
2: kuhama chumba, yani, halo na mume wake chumba wala kitanda kimoja, analala chumba Cha watoto, sababu, hawezi kulala chumbani na mume wake wakati mtoto wake wa miaka 6 analala peke yake
3: Hamsikilizi mume wake
4: Ana Gubu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.