Hallo,
nyumba ipo karibu na matofali ya kuchoma, unabranch hapo (upande wa kushoto) unafika mahali wanapouzia maji kisha unaingia kushoto utaona nyumba yenye kigae chekundu - ndio nyumba yenyewe. Ukipata shida kufika hapo mpigie jirani yangu 0717216228 atakusaidia kuiona maana kwa sasa...
Ndugu jaribu hii:
Kuna nyumba ya kupanga kwa Mworombo, Arusha (6km) kutoka City center. Ni nyumba yenye vyumba vitatu (3) Master moja+vyumba viwili vya kawaida na sebule kubwa sana. Ina jiko kubwa na uzio na usalama ni wa hali ya juu. Nyumba inapangishwa kwa Tshs 160,000/- tu kwa mwezi. Kodi...
Salamu nyingi wadau wa Jamii forums.
Kuna nyumba ya kupanga kwa Mworombo, Arusha (6km) kutoka City center. Ni nyumba yenye vyumba vitatu (3) Master moja+vyumba viwili vya kawaida na sebule kubwa sana. Ina jiko kubwa na uzio na usalama ni wa hali ya juu. Nyumba inapangishwa kwa Tshs 160,000/-...
Salamu nyingi wadau wa Jamii forums.
Kuna nyumba ya kupanga kwa Mworombo, Arusha (6km) kutoka City center. Ni nyumba yenye vyumba vitatu (3) Master moja+vyumba viwili vya kawaida na sebule kubwa sana. Ina jiko kubwa na uzio na usalama ni wa hali ya juu. Nyumba inapangishwa kwa Tshs 200,000/- tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.