Habarini wakuu wa hapa jukwaa, poleni na majukumu ya kila siku ya kusukuma gurudumu la taifa
Wakuu nina muda wa mwezi mmoja tangu niamie kwenye huu ulimwengu wa android, wiki yangu ni SONY ERICSSON XPERIA X8 e15a,
Tatizo la hii simu yangu ni kwamba nashindwa ku access baadhi ya APPS hasa zile...
Habarini maGT wa hapa jukwaani,
Leo nimeona niombe msaada wa mawazo kwa watu waliopevuka kiakili.
Ni muda mrefu sasa nimekua nikisikia kua ujana hivi mara ujana vile mara ujana maji ya chumri, kuna wadau wamekua wakizungumzia mambo yanayopaswa kufanywa au yasiyopaswa kufanywa kati ya umri wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.