[emoji427]SWALI[emoji427]
Quraan inasema
"arrijaalu qawwaamuna ala nnisaa"
je mume akishindwa majukumu ya nyumba mke afanye nini?
Hayo yote ni majukumu ya mume: Chakula kodi ya nyumba ada ya watoto shule umeme maji tiba...?
[emoji427][emoji427]JAWABU[emoji427][emoji427]
[emoji676]Wanaume...
Habari zenu wandugu, Nina simu yangu aina ya TECNO H6 nilii-upgrade kutoka kit kat mpaka lollipop 5.1.1 tatizo lililopo hii OS haisomi laini yyote mwenye maujanja aokoe hili jahazi!
Habar za mchana wakuu,
Laptop yangu ni Aina ya dell vostro 1200 mwanzo ilikua na tatizo LA kuzima yenyewe hata kama ilikua haijapata joto Sana, sasa basi tokea juzi haiwaki kabisa. Msaada wakuu unahitaka!
Wakuu habar za jioni! nahitaji msaada wa dharura kwa wenye uzoefu. Naomba kujulishwa ni aina gani ya kiuatilifu naweza tumia kupalili mahindi ambacho kinaangamiza ndago na nyasi?, nilitumia 2,4 D haikusaidia kitu msaada tafadali
Hatimae wafanyakazi wa kiwanda cha pptl mkoani Tanga wamegoma mchana huu kutokana na kutopatiwa mishahara ya mpaka Leo his tarehe 03/10/2015. Pale mkurugenzi wao alipowaambia mpaka tarehe 07/10/2015.
Habar wakuu! Nina computer yangu dell vostro 1200 tokea Jana usiku ukiwasha inandika starting window. halafu inaanza tena na tena. wajuzi niombeni msaada jinsi ya kufix hill tatizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.