najiri akasogea kwangu na kunishika mabegani,ghafla mavazi mazuri ya rangi ya kahawia yaliposhuka na kujivika mwilini yenyewe,kwa kweli mambo yalienda mtindo wa mazingaombwe,ndipo nilipata ruhusa ya kumvisha pete mwanamke mlembo huyo jini najiri,kwa maneno matamu yalijaa mwangwi akisema,sasa...
ninachosema kuwa maneno yale yaliyotoka kinywani mwa najiri yaliniacha kinywa wazi ni kwa sababu haiwezekani jini kuolewa na binadamu,najiri alizitambua fikra hzo ,na akadai amechagua niwe mume wake na ameamini sitomsaliti,ama kweli ukistaajabu ya binadamu utayaona ya majini!kumbe nao wanaogopa...
kwa kweli nilipigwa na butwa kuona mazingira yale,najiri aliligundua hilo,kwa sauti ya upole najiri akaniuliza'unashangaa nini mume wangu wa ndoa'?kwa kweli ni maneno ambayo yaliushtua moyo wangu kuniita mume wake,kwani ni ajabu dini kuolewa na binadamu,nilitaka kumhoji maswali kadhaa najiri,kwa...
UKWEL HALISI WA MAISHA YANGU
naitwa jey,nimezaliwa mwaka 1990,mkoani iringa,nina umri wa miaka 26,nimeishi kwa shida sana katika maisha yangu yote kwan nilizaliwa peke angu ila usiku nilikua na rafiki mtoto wa kike ambae hakuonekana mchana ila usiku tuu,alikua akinishtua sana hasa wakati akija...
Mimi Ni Kijana Wa Kiume,nina Miaka 27,elimu yangu ni Diploma, mimi ni mkristo, ninatafuta mchumba wa kike, sura ya kawaida, mkristo, elimuyoyote, umri asizidi miaka 26, tuwasiliane kupitia 0763175935
Namshukuru mungu sana nimekoswa na panga la serikali, nimechaguliwa kujoin mtwara teachers college, waliochaguliwa wengine tuwasiliane kupitia 0763175935
Polen na kazi wapendwa, pia poleni na stress kwa kile ambacho wizara imefanya, kusema ule ukweli mim niliamua kuwasiliana na mkuu wa chuo Tukuyu, akanambia wakuu wa vyuo vya ualimu vyote wameletewa barua zenye taarifa ya kufutwa kwa mafunzo ya ualimu ngaz ya cheti, na akasisitiza kuwa majina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.