Habari wana jamii, kwa mda mrefu nimekuwa na ndoto ya kujifunza mambo kadhaa kwenye courses za biashara kwa ngazi ya certificate/Diploma leval hivyo ninaomba kwa yoyote anaesoma au anaejua topic za business administration/ Marketing naomba anifahamishe nataka kusoma kwa lengo la Kuongeza maarifa...
Habari,
Baada ya Hali kuwa ngumu hapa Mjini Dsm nimefikiri naweza a nzia shambani kwa kuwa Dsm na Morogoro ni karibu hivyo naomba kufahamisha mambo kadhaa
1. Naomba kujua sehem Nzuri nayoweza Lima mahindi na maharage
2. Bei ya kukodi shamba kwa eKari au kama kuna jamaa anaweza niazima shamba...
Habari, Mimi ni clinical assistant natafuta kazi kwenye health centre, Zahanati au Ng'o yoyote sehem yeyote Tanzania Nina uzoefu wa miaka 4 Pia ni mtaalamu kwenye upande counselling na Market.
Cont 0715034565
Habari
Naomba mtu yeyote anaefuga nguruwe nimtembelee na kuona ili kujifunza zaidi
Naishi dar niko tayari kufika kokote pembezoni mwa dar kama mkuranga, rufiji, kibaha, mlandizi, morogoro na bagamoyo
No 0715034565 nitashukuru kupata ushirikiano wenu.
Habarini wana JF,
Mimi ni mjasiriamali ninapata kipato changu kwa kipindi fulani hasa pale biashara inapokuwa nzuri nikapata wazo la kujiunga kwenye mfuko mmoja wa hifadhi ya jamii kwa kuchangia pale nitakapo pata kipato cha ziada, tafadhari wana jf naomba kujua ni mfuko gani mzuri kwa...
Habari wana jamvi, mimi ni mjasiliamali nimeanza kutengeneza mabanda kwa ajili ya ufugaji wa nguruwe naomba kujuzwa kama naweza kupata vifaranga vya nguruwe maeneo tajwa hapo juu. hata kama nitahitajika kuweza oda ya vifaranga vya nguruwe au kama kuna mwanajamvi anafahamihana na mtu yeyeto...
Nimekutana na matangazo ya benki hii ya FINCA kwamba unaweza fungua account kwao na ukapewa interest ya 14% ukiwa ume diposit kuanzia 1 mil hadi mil 25, ukiwa juu ya hapo utapewa interst zaidi.
Mimi binafsi naona inaweza kuwa njia sahihi ya kuwekeza kwa watu ambao awana mda wa kufanya shughuli...
Wana jf, katika harakati ya kjikomboa kiuchimi nilifikiri kuanzisha biashara ya kuuza chipsi maeneo ya tabata, niko kwenye mchako wa kutafuta location na nimepata kwa taadhari ya kwamba hapo nilipopata kuna watu walishafanya hii biashara lakin baada ya kipindi biashara inakufa nilitaadharishwa...
wana jf nataka kufanya application kusoma degree kwa njia ya equivalent, nina credit mbili za o leval physics na mathematics lakin nimesikia kwamba kama auna credit tatu huu mpango auwezekani nahitaji kurudia hayo masomo(chemistry na biology) ambayo nina ufahuru wa D, kwa kuwa nimesoma course za...
Wana jf naamini akuna linaloshindikana humu ndani, nahitaji kuwa na blog kama njia ya kujiajiri nahiatji kujua machache toka kwenu wapendwa, tofauti na computer na access ya mtandao ni jitiada gan mimi nitatakiwa kufanya ili nifanikiwe ideas nimepata blog i deal na nini? na nani anaweza...
Habari ya asubuhi.
wana jf naomba kwa yeyote anaefahamu kama kuna uwezekano wa kusoma degree ya chemical and processing engeering kutoka kwenye diploma ya clinical medicine (clinical officer) naomba anijuze.
Kwa sifa za o leval certificate na diploma ya clin medicine kama kuna uwezekano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.