kwani ccm ndio yenye kutoa rais.miaka hii !!sio miaka ire':dunia itashanga kama serikali za mitaa.bila nguvu ccm isingepata hata 30% Mungu ibariki tanzania
mkuu suara la huyu jamaa anaefuatwa na makada wa ccm ni uzushi! hata ariepo madarkani irikuwa hivi hivo.wananchi tubadirike wanatumwa kwa masirahi yao.uchaguzi ukiisha wote wanapewa nafasi ya kutuongoza.Tutafakari ndugu zangu.Nchi hii itwakwenda bila ccm wala tusidanganyike kuwa ccm ndio...
ndiyo serikari ifanye kila kitu kwasababu ina dhahabu ,gesi;bandari;misaada;madini ya kila aina.vipi viongoi turiowajiri wawe na pesa nyingi kiasi cha kununua wananchi watanzania wote.lakini hakuna wakuwauriza.ira kujenga maabara na maendeleo mengini tushirikishwe.wambieni hao mafisadi wafanye...
Hawa wakubwa wataendelea kuitesa nchi hii wanaemkamata ndie arie chola diri.anaemfunguria mashitaka ndie arieshirika ki namna ya kufanikisha mipango.ivi ninani atakae msaliti mwenzie?jibu hakuna.mwisho ya yote nikubadiri mfumo wa uongozi wote .bila kufanya hivyo tutalalamika mpaka basi.wananchi...
sasa warivvyokuwa wanatpata kana kwamba huyu jamaa ndoanaza na hilo dili?kumbe bado tunatumika.wakubwa badirikeni.hata boko haramu warianza hivihivi. wananchi walilalamika vipngozi wariziba masikio.je vipi saaizi nchi ire iko salaam?tafakari
ndugu zanguni minaomba ufafanuzi kuhusu raisi kuongea na wazee badala ya wanahabari.nijuavyo mimi wakati wa raisi jk nyerere.kukiwa na jambo linalotatiza nchi arikuwa anaita wanahabari anawereze baada ya hapo wanamuriza maswali.vipi leo rais anahutubia bila kuurizwa maswali.naomba kunijuza
Asalaamu ndgu zangu,
ilizoe kuongoza nchi kwamazoea.na hata matamko ya kwenye jukwaa. Kwa mfano huku kwetu CCM walikuwa wakipanda jukwani kuwanadi wagombea wao wenyeviti, walikuwa wanatukana wapinzani kana kwamba ndo sela. Hawakuweza kupata wananchi wakuwaunga mkono na kutishia kuwa CHADEMA...
duu!jmaa kapendeza sana.minatamani anapoperekwa mahakamani afarie namna hiyo.iri kuhamasisha wana ccm namna ya kumuunga mkono.hongela sana kiongozi umeturia nchi utapewa iri uwe raisi
we unataka kujua anarukaje na chopa?mbona huurizi mumepateje wabunge.madiwani.wenyeviti.unakimbiria ofisi.kuna haja gani kuwa na ofisi zenyekukaa na kuteta watu kama unavyofanya wewe na jmaa zako?ukifika muafaka utaziona.huna haja ya kutufuatiria.fuatiria ofisi zirizokuharibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.