Hodi hodi naingia, mara ya kwanza nachangia
roho yangu yafurahia , jamii forum kunukia
ila naumia kwa mada hii nachangia.
tunawaita wasomi, na macho yetu yapo kwao
tunajisisifu nao, kumbe tunajidanganya
si vyema nikizunguka, ngoja yangu hoja niitoe
Raisi kawatembelea, kutaka yao kura
kaenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.