Katika list ya watumishi wasio na vyeti I mean walioandikiwa incomplete yumo jamaa yangu,ni mwalimu wa shule ya msingi ila ndo hivo alipita njia za shortcut kusoma ualimu hadi akapata kazi.Namfahamu vizuri wala sio kwamba labda wamekosea kumbaini maana o level alipata bashitenic grade,zero...
Kuna jamaa yang yuko njia panda kwa kweli.Kipindi wanakagua vyeti yeye hakuenda kukaguliwa hata siku moja.Orodha ya waliogushi vyeti yeye hayumo,shida anawaza yuko salama kweli kwa hili fagio la Magufuli?
Mbaya zaidi ile list ya wanaotumia cheti kimoja watu wawili haikutolewa hadhalani.Kwa...
Taasisi ya uhakiki wa mvua duniani(Taumdu) inapenda kutoa taarifa kwa yeyote anayetegemea rasimali ya maji yatokanayo mvua za misimu yote ya Mwaka 2016/2017,kuwa hakutakuwa na mvua hasa NCHI ya Tanzania baada ya kubaini Kuna urasimu Mkubwa unafanyika katika sector nyingi nchini ambapo watumishi...
Habarini wana JF,
Hali ya mvua Mwaka huu ni tete sana % kubwa ya maeneo yanayotegemea mvua za vuli haijanyesha msimu huu. Nafikiri kuna kla sababu ya kujitafakari na kuomba toba mbele za Mungu aliye hai kwa machukizo tuliyoyatenda Mwaka huu.
Viongozi wa dini na serikali nashangaa wako kimya tu...
Usawa huu wa mh magu nmeupenda sana, mabishoo wamepungua kwa kasi sana waliobaki ni vichwa ngumu kweli kwao somo la nyakati walishafeli totally.
Ama kweli mia tano tutaacha kuiita jero, book tutairudishia utukufu wake wa kufahamika kama sh.elf moja.
HAPA MSOTO TU.
Kupitia CAS ya NACTE deadline applications za degree mwisho mei 31 mwezi huu,ukianza kuaply katka ile hatua ya kuchagua chuo, list ya vyuo vikuu haiji.Hata taarifa ya mabadiliko yoyote hawajatoa kwenye web yao.Tatzo ni nini? ama mpango umepangwa kuwaibia watu hela? mwenye ufahamu anijuze
Hulka ya kuongea kiswanglish Dar inakua kwa kasi sana,mbaya zaidi ni pale mtu anataka kubwabwaja katika suala la kitalamu zaidi.
Wadada nao ndo komesha utasikia,u know...,i was like kwamba..,yani kero tupu.Mabishoo nao ndo kabisaaa! Wanachafua lugha ya malkia.
Kama ukiamua kuchana yai chana...
Clouds media walikuwa wanakuja vizuri sana TZ na East Afrca katika soko la media,tatizo la kufukuza fukuza watu na bifu zisizo na msingi watapotea kama Sahara Media walivyopotea sasahivi.
Katika matembezi yangu ya hapa na pale leo nikaona siyo mbaya niperuzi kidogo kwenye web ya bodi ya pamba, nimeperuzi weee mwishoni kabisa nikaingia kwenye uchochoro wa humo TCB unaitwa vacancy, kuchek nikakuta vacancies kibao ila hazina dead line for applaying, sjui n za long sana i don knw...
Halmashauri inayoongoza kwa ubadhilifu wa fedha za walipa kodi nchini TZ ni KISHAPU YA MKOA WA SHINYANGA.Mbunge,madiwani na watendaji wa halimashauri hiyo wote ni wapiga dili,naskia mbunge huyo kakimbilia MUSCAT OMAN baada ya kampuni lake linalojihusisha na shughuli za mgodini kukumbwa na...
Tambua political party ni group la watu wenye common interest (kushika dola).Group lolote lina stage zake za ukuaji,stage ngumu ni hii inaitwa "conflincting stage" Hapa group linafarakana hata kufikia hali ya members wa group kjitoa.Ninachokiongea watu wa comunity developments wananielewa,suala...
Nchi za wenzetu eg.kenya na nigeria ujinga ujinga wa kudhulumiana kura umeshapitwa na wakati,just imagine maajabu ya Zanzibar mwenyekiti kapewa agizo na bosi wake afute uchaguzi.
Tutumie njia gani ili tupate tume huru, ukisema toka bungeni haiwezakani kwasababu wanaofurahia hii tume ni wale...
Nimekuwa Kishapu shinyanga kikazi almost one year now.
Kwakweli mahakama za mwanzo huku ni Hatari sana,mahakimu wanakula rushwa na ni waonevu sana.
Sidhani kama mahakama ya mwanzo inao uwezo wa kutoa hukumu ya faini million 3 au jela miaka 6 kwa kosa la family conflict tu.
Hakuna haki...
Kama mna kmbukmbu nzuri,miaka ya uchaguzi kunakuwaga na ukame sana maeneo mengi ya TZ.Kuna uwezekano mkubwa kuwepo kwa uhusiano flani wa kiroho na hii hali, Either Watu wanatambika sana na kutoa kafara kias kwamba wanamchkiza JEHOVA au wanaweka matambiko ya kuzuia mvua isinyeshe ili wananchi...
Rais Kikwete ana siri nzito sana kuhusu urais mwakani,kuna uwezekano mkubwa NCHEMBA akapewa tiketi kuwania urais CCM 2015,ikumbukwe kwamba Nchemba ameji-tune baada yakukurupuka na siasa za kuchafuana,alianza kukichafua CHADEMA kwa ugaidi,baada ya kusoma nyakati amebadilika na kuwa mtu wa kuwa...
1.Rostam- Ana gold and diamond plant,kapewa bure na Mkapa
2.Lowassa- Ana hisa kwenye makampuni ya kununua pamba,yeye ndo final say kuhusu bei ya kununulia pamba,pia ana mgodi Mwadui.
3.Kikwete- Aana gold and diamond plant,anajipakulia tu
4.Mkapa- Ana share kwenye plants zote za migodi ya mkoa...
WanaJF habari zenu!
Mimi sio mzaliwa wa jimbo tajwa hapo juu ila ni mfanyakazi wa halmashauri iliyomo ndani ya jimbo tajwa hapo juu.
Mbunge wa jimbo hili hafai kabisa 100%.Life standard kwa watu wa jimbo hili ni yakusktisha sana,maji shida,umeme taabu,huduma za afya hakna,barabara usiseme...
Habari zenu wana jf,Ni dhahiri kabisa mikoa ya kanda ya ziwa ndiyo mikoa inayoongoza kwa kuwa na rasilimali nyingi TZ,kuna migodi mingi mikubwa inayotambulika kitaifa na kimataifa,buzwagi,bulyang'ulu,ggm,mmwadui,nyamongo,na mingine mingi ambayo inafika takrban kumi kwa idadi.
Vilevile tuna...
Kishapu sec. ni Shule ambayo inapatikana katika Wilaya inayoongoza kwa ufisadi Tanzania, wilaya ya Kishapu ipo Shinyanga. Kishapu ina Walimu wengi sana, tatizo hawajawa trained kufundisha taaluma mbali k kuharibu watoto wa kike. Kuna walimu wanaharibu hii shule.
Watoto wameathirika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.