Hili swala linanishangaza sana mkuu. Privacy ya clients is at stake. Na sidhani kama tatizo ni new generation of lawyers, kuna senior counsels wanafanya haya mambo hadi aibu mkuu
Noted mkuu. Niliisoma kwa haraka sentence yako. But just take it from me. Kuna taasisi kubwa tu huwa zinapita vyuoni kwaajili ya career recruitment for young graduates. Zipo za ndani na za nje pia. At times I count myself very lucky maana it was a thing that I did just to try and it real worked out.
Mkuu mimi nimeshafanyiwa interviews na wabongo na nyingine nimefanyiwa na hawa wenye ngozi za pink. Kuna tofauti kubwa sana mzee. Very big difference. Yaani unaona kwamba wakati mbongo anataka utoe yale uliyokariri darasani, wenzetu wanataka uoneshe skills zako in handling matters. I think...
Pia mimi si muumini wa hizi itikadi maana zimekuwa zinafunga akili za wahusika in such a way they don't see beyond they itikadi. Sina ukada wowote maana nilitoka kijijini kuja chuo kusaka maarifa na fursa.
Mkuu kuna mambo mengine ni kuyaacha jinsi yalivyo. I had my classmate tunafanya final UE mwaka huo alikuwa ameshalamba ajira ambayo take home was 2.4. Sioni kitu cha ajabu katika hilo. Mimi nilianza mihangaiko na kutafuta exposure tangu niko first year, mpaka namaliza chuo nilishazunguka nchi za...
Katika mfumo wa mahakama hatuna kitu kinaitwa mahakama ya Mkoa. Tuna Mahakama ya Hakimu mkazi (Resident Magistrate Court). Kuna historia ndefu ambayo ilipelekea kuwa na mahakama hiyo but before that tulikuwa na mahakama ya wilaya ambayo mpaka sasa bado ipo. Kwa hapa Dar kuna mahakama za hakimu...
Ila sikucheki mkuu maana haya mambo kwa sisi wengine yalipita mbali. Mtu unaogopa mabinti as if ni dangerous species. But ilisaidia kujenga maadili ya jamii
Mkuu at times tuumie tu mioyo halafu tutulie. usalama wetu sio kipaumbele kwa watawala. Hivi inakuwaje mnapoteza nguvu kudhibiti vikao vya ndani vya wanasiasa mnaacha majambazi watambe hivi? You need to be stupid to understand this
Huwa siachi mkoba wenye personal belongings ndani ya gari kama nashuka mkuu. Hilo kosa nilijifunza kutoka kwa kaka yangu. At the time natoka kwenye gari, nashuka na computer or any other valuable thing
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.