Majina ya waliochaguliwa jordan university kwa awamu ya kwanza na pili yameshatoka na kama wewe ni kati yao basi pita hapa tujuane na kwa whatsup group WASILIANA NA NO 0745709844 group lipo tayali
wakuu mi ni mhitimu wa form six HGL mwanzo nilipenda education sababu ilikua na priority na ajira ya uhakika kwa hali ilivyo sasa nimeona bora nisome logistic and transport sababu hata ajira za education zimeonekana ni shidaa sasa Kama kuna anaweza kunishauri pia .Nawasilisha
Wakuu naomba kujuzwa kuhusu kozi tajwa hapo juu soko lake lipoje na hasahasa naitaji ile ya watu wenye matatizo ya macho kwa harakaharaka nimeiona Sebastian kolowa memorial university. Nimemaliza form 6 na Nina DDE Napenda kuwasilisha kwa ushauri wenu
Wadau naomba anayejua kuhusu koz hii pale NIT anielezee kiundani kama ina aply wap inahitaj point ngap soko lake la ajira lipo vip pia kuhusu mkopo inasumbua au iko poa
Ningependa kujua hii fakat ipo vyuo gan vya serikali na ajira yake inahusika maeneo gan hasa kwa anayefahamu naomba anipe mwanga kidogo juu ya hii kozi mi nipo kidato cha 6 ningependa kuijua zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.