Natumain Wataalaam Wa Jukwaa Hili Ni Mko Poa,
Naomba Maelekezo Jinsi Ya Kufunga Sacket Mpya Kwenye Tv Ya Sinsung (flat Mbele) Nilivyofunga Mm Naona Inanizingua, Haijazi Kioo.
Nawasilisha
Nina tv ya kichina kioo chake kinaonesha picha za kupauka, ukiwasha ina rangi ya blue iliyopauka halafu maandishi yana kivuli hayasomeki vizuri.
nimejaribu kufunga saketi mpya lakn bado tatizo lipo pale pale.
Naomba msaada wenu wakuu, kama kuna uwezekano wa kurekebisha rangi kwenye kioo chenyewe.
Saket Ya TV Yangu Inanizingua Kupima, Inachoma Lakini Bulb Inawaka Moja Kwa Moja Haizimi, Kitu Kingine Sijajua Hizi Zeenar Diode Huwa Zinapima Volt Ngapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.