Nchi ya majuha hii na walalamikaji kila cku bila kuchukua hatua,hili litaisha hivi hivi tu sasa kama report inakwepa kuwataja wahusika unategemea nn hapo,au aliyefanya uchunguzi wa report hyo nae kishapokea rushwa?
Mtoa mada naona una chuki binafsi na gazeti la mwananchi,kusema kweli mwananchi ni moja ya magazeti yanayofanya vizuri sana hapa bongo hawapendelei upande wowote kama.ni habari wanadadavua vizuri,sasa nakushangaa unasema tusisome mwananchi ebu toa hoja ya kueleweka ili tujue
Kweli sasa mambo yamebadilika badala ya kujadili mambo ya msingi wasomi tunaanza kujadili dini ebu tuache hayo mambo kule yanakopaswa kujadiliwa bana,ni jambo la aibu sana kuibua hoja za kuleta mfarakano katika jamii zetu,napita tu ctaki maswali
Mkuu mwarabu hafai wala hana chembe ya ubinadamu,unaposema anawasaidia watanzania wanaoishi huko una uhakika gani yawezekana ni kutokana na utajiri wake kujionyesha kama anawasaidia kumbe hakuna lolote,nimevunjika moyo sana kusikia habari kama hii waarabu kuendelea kuichezea ikulu yetu tukufu na...
Unajua cku zote mfa maji huwa haachi kutapatapa,diallo akubali yaishe kwamba siasa haziwezi na kama alishindwa na kijana mdogo kabisa highness kiwia sembuse lowasa cyo size yake kabisa,unajua anatumiwa na kundi fulani ila akae akijua yeye pia ni mmiliki wa vyombo vya habari sasa angalie asije...
Diallo huwa hawezi kufikiri kwa kina yeye ni mwanachama wa ccm halafu ni kiongozi hakutakiwa kutoa kashfa kama hz ambazo hata hajasikia zikisemwa na el.cjui anafanya haya kwa faida ya kukiunganisha chama au kusambaratisha,naona ndo type akina paul makonda na wenzake samuel malchela
Kwa hyo mkuu wewe unaona nyerere hakufanya lolote katika nchi hii,mmoja wa viongozi waliokuwa na maono katika bara.la afrika yeye alikuwa ni miongoni mwao watu kama nkrumah,nelson mandela,samola macheli patric lumumba na wengine wengi lazima tuwaenzi bana,ndiyo yapo mabaya yao lakini...
Mtu wa pwani bila shaka utakuwa mzalamo au mndeleko unakuwa huna nidhamu kwa wakubwa na wazee waliotangulia mbele za haki,hv unaona tabu sana nyerere akisifiwa eeh,na mchango wa nyerere kwenye taifa hili hauna wa kulinganishwa nae,pengine kuna kasoro za hapa na pale na yeye alikuwa ni binadamu...
Hilo litasababisha ccm waweze kuchakachua kura za maoni iwapo itawekwa pamoja na uchaguzi wa rais na wabunge,kumbuka ccm wamekuwa wakijipanga sana kwa namna yoyote ile ilimradi washinde,hii refferendum ingefanyika kabla ya uchaguzi mkuu ili kuwanyoosha vizuri ccm na kwamba ingekuwa njia rais ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.