Bei maelewano ila naanzia Tshs 25000/- @ mjusi mmoja.
Unataka mmoja tu?
Unataka aliye hai au hata aliye kufa poa tu?
Upo wapi ? kama upo Dar es salaam ni Free delivery!!
Wa Mikoani gharama za usafiri ni kidogo Elfu kumi kwa Mjusi mmoja kama ni hai ila aliye kufa ni 20000/- gharama nyingine ni...
Sina ujuzi mkubwa na hilo tatizo mkuu, ngoja tusubir wadau kwa msaada zaidi. Ila itakuwa bora zaidi ukimtenga ili asisumbuliwe na wenzie. Maana wanatabia ya kudonoana wakiona damu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.