mkuu tuwasiliane naweza kukuuzia,mm nachinja ng'ombe aina tofauti June ng'ombembaza, ng'ombe masai na nk sasa nitakuuzia nyama kutokana na pesa yako....namba zangu 0659402895
mnamo tarehe kama ya leo mwezi kama huu na mwaka...kufanikiwa kupata usajiri....sasa mkuu mbona kama kama nyingi sana ina maana hauna uwakika?
na ikiwa mwezi huu na tarehe ya leo ina maana mlisajiri hicho chama chenu wapi maana siku ya jpili ofisi havifunguliwi sasa nyinyi mlisajiri wapi hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.