Search results

  1. jojoe35

    Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

    nimekufatilia tangu mwanzo wa uzi wako nilitegemea nitaona umetoa fungu la biblia linalokusapot twende kuombewa kwa mtumishi, lakini naona porojo za kupiga sadaka tu
  2. jojoe35

    Nisaidieni: Naogopwa sana na watu

    Hivyo ndivo Mungu kakuweka kubali hilo kwanza maana ni Edeni yako kama samaki anavotegemea maji, badala ya kupasua kichwa kutafuta usichokua na uwezo nacho boresha asili yako uone itakusaidiaje kufikia mafanikio yako, nakuhakikishia kadri utavojichangamsha kwa watu ndivo utakua kituko zaidi
  3. jojoe35

    Wazee wezangu tupate wasaa wa kujadili hili jambo!

    Tatizo kununuliwa soksi akat nmemhonga nyumba
  4. jojoe35

    Kufanya kila kitu kwa wakati ni kuwahi kufa

    Hili nalo mola alitazame
  5. jojoe35

    Kwani Mungu pia anashindwa na jambo?

    Ukishindwa kumuelewa Mungu umeanza kumuelewa Mungu, ongeza juhudi
  6. jojoe35

    Kujenga nyumba ni ndogo ya kila maskini

    Me nikajua utaenda kutoa ujanja baada yakuponda umama
  7. jojoe35

    Tumeumbwa Ili iweje?

    Hili swali lishajibiwa jukwaa la inteligence kwenye nyuzi za Yoga nenda huko
  8. jojoe35

    Wataalamu wa kilimo semeni ukweli kuhusu GMO

    Sio ajabu matoto ya 2000 yanaonekana kuzeeka, hindi lililotakiwa kukomaa kwa miezi 6 linakomaa miez 2 linaliwa anaekula atakomaa kwa miez 2. Kuku wakuliwa miez 6 anakomaa wiki 2 ya 3 analiwa, atakae kula atakomaa kwa wiki 2. Mwembe wakukua na kutoa matunda baada ya miaka 4-6 utakua kwa miez 6...
  9. jojoe35

    Natafuta mume

    Ulivotumia neno "hapohapo Marekani" nikajua tyu uko bongo hapahapa, Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
  10. jojoe35

    Robert Heriel alikuwa sahihi, roho yako ndiyo inapata neema/toba siyo mwili

    Mahubiri yamekuchanganya huelewek unataka ktuambia nn dini au karma Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
  11. jojoe35

    MSAADA: Ninachangamoto ya kukosa hamu na mwanamke hata nikiwa naye 6×6

    Hukua na shida kihivyo Uyo ustadhi ndokazimalizia zote, na hutapona hadi ashibe hela zako, cjui mnawazaga nin
  12. jojoe35

    Mwanza: Wanafunzi 70 kati 130 wakwama kumaliza kidato cha 4 kisa mimba za utotoni

    Mama amesharuhusu kuendelea na masomo baada ya kujifungua stak kelele Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
  13. jojoe35

    Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake

    Naona umeuliza swali na umejijibu, ila unachohisi ndicho. Achana na kina Mwamposa watam manipulate wanavyotaka maisha yake yote maana healing zao ni za muda tu ili uwe hooked kwao Sijui ni wa imani gani lakini kama unania kwel funga siku 7 uwe unakula jioni tu, katika siku hizo --acha kufanya...
  14. jojoe35

    Good doctor!

    Kisukari gani umpe soda cha kupanda au kushuka? Hizi elimu mitaan hiz Mtawaua mam zenu nyieeee uje umpe soda akiwa na sukari yakupanda unialike msiban
  15. jojoe35

    Good doctor!

    Madaktari hawakataliwi ila wanaulizwa ili upewe sababu kwanini kamuandikia hivyo kama kapitiwa atajua na atakushukuru ila usikurupuke na elimu yako ya mtaani ukaanza kumprovoke doctor, mfano hapo kuna drip za aina nyingi , mgonjwa wakisukari kimepanda huduma ya kwnza ni drip ya NS ili kushusha...
  16. jojoe35

    Msaada jinsi ya kurekebisha jina kwenye cheti cha kidato cha nne

    Yan tang 2015 leo ndounagutuka kjna[emoji848] hauko serious
  17. jojoe35

    Kwanini Mungu alimuua Onani kwakumwagia nje?

    "Mbegu zimekusudiwa kumwagwa ndani ya uke wa mwanamke aliyeunganishwa kwa ndoa nawew,tofaut na hapo hizo mbegu ni halali ya shetani" Rudia hii sentensi tena Usivunje condition ya kuunganishwa hata kama utamwaga ndani Kwaiyo nazungumzia mahali mbegu humwagwa sio muda wa kumwaga
  18. jojoe35

    Suguye ni mchawi au ni Mtumishi wa Mungu?

    Ufumbuzi wa shida zao upo huko makisani na watu wengi wanapokea inahitaji kufata kanuni na taratibu tu za maandiko, sasa shida watu hawapendi kufata taratibu na kanuni wanapenda shortcut na mtelemkoooo kitongaa yan wapokee huku wanadanga wapokee huku wanafanya biashara haram wapokee huku...
Back
Top Bottom