Nashukuru sana chipukizi kwa kunifumbua macho maana nilisikia hiyo ni kampuni kutoka kwa Obama kumbe ndio walikuwa wanataka kuwaingiza watanzania mjini?nani hasa ni wamiliki wa hiyo kampuni?je ni wazalendo wenzetu au wageni?
sio HITS hiyo ilikuwa na ofc zake pale kwa manji Quality plaza,ilikuja kwa kishindo sana na tulipeleka Applications zetu sasa mpaka leo kimya tunasikia zingine tu,hata pale wamehama hatujui wako wapi kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.