Search results

  1. O

    kampuni ya simu ya TALKTEL imepotelea wapi jamani wadau?

    Nashukuru sana chipukizi kwa kunifumbua macho maana nilisikia hiyo ni kampuni kutoka kwa Obama kumbe ndio walikuwa wanataka kuwaingiza watanzania mjini?nani hasa ni wamiliki wa hiyo kampuni?je ni wazalendo wenzetu au wageni?
  2. O

    kampuni ya simu ya TALKTEL imepotelea wapi jamani wadau?

    sio HITS hiyo ilikuwa na ofc zake pale kwa manji Quality plaza,ilikuja kwa kishindo sana na tulipeleka Applications zetu sasa mpaka leo kimya tunasikia zingine tu,hata pale wamehama hatujui wako wapi kwa sasa
  3. O

    kampuni ya simu ya TALKTEL imepotelea wapi jamani wadau?

    Kampuni ya simu ya mkononi TALKTEL iliyokuja kwa kishindo kabla haijapata leseni kamili imepotelea wapi jamani?
Back
Top Bottom