Hello wakuu hii post ni mahususi kwa ajili ya kushare screenshot za matumizi yetu ya vifurushi vya internet kwa mwezi unaoisha (mwezi wa 6)
Labda kupitia hii post watu wa makampuni ya simu waliopo humu Jamiiforums wakipitia post hii na kuona matumiz ya wateja wao kwa upande wa data ni makubwa...
Habari za wakati huu...!!
Natafuta mtu anayeuza kitanda na godoro lake aniuzie ila viwe katika hali nzuri... Itapendeza kama size itakuwa 4x6 au 5x6
Mawasiliano.. 0620 344312
Habari za mida hii wakuu katika pita pita zangu mtandaoni nikakutana na hii smatphone ambayo imenivutia
Tatizo linakuja sijui duka gan hapa Tanzania zinakouzwa na bei yake pia sijafahamu inasimamia shingap
Smartphone yenyewe inaitwa vivo Nex S
Kama una ndugu yako amemaliza kidato cha nne na yuko nyumbani anajua kuongea na kuandika kiswahili na kiingereza kwa ufasaha
Na yuko tayari kufanya kazi kwa mshahara wa laki nane (800,000/=) MSALIMIE SANA MWAMBIE TUKO PAMOJA..!!
Habari za mida hii mabibi na mabwana ningependa kufahamishwa tofauti ya neno HOSPITAL na HOSPICE
Kuna movie nilikuwa naicheki lakin cha kushangaza eneo wanapotibiwa wagonjwa ambapo tumezoea kuona pakiitwa HOSPITAL (hospitalini) wenzetu wanapaita HOSPICE
Naomba wajuzi na wataalam wa mambo ya...
Hebu tujikumbushe ni ndoto gani/zipi tulizowahi kuota ambazo hazikuwa nzuri kiasi kwamba tulivoshtuka toka kwenye hizo ndoto tulishukuru sana kuwa afadhali zile ni ndoto tu sio uhalisia
Kwa upande wangu ndoto niliyowahi kuota ni ile ya kuibiwa gari la kampuni ambalo nililichukua kinyume na...
Hamna kitu kibaya kwa mwanaume kama kurudia kutongoza mwanamke uliyewahi kulala nae kipindi cha nyuma.
Wengi wetu huwa tunajitetea kuwa tukishalala na mwanamke maramoja alafu
ikatokea tukaachana basi tunawafuta mawazoni kabisa kiasi kwamba ikipita muda fulan tukakutana nao tena hatuwezi...
Habari zenu wakuu ningependa mnisaidie njia rahisi ya kudownload file
La torrent lenye ukubwa wa GB 40
Kwa mtandao wangu wa voda(3g) nimecheki naona itachukua siku 2 hadi file lote likamilike kuwa downloaded
Hivi haiwezekan nikadownload hili file la torrent kwa kutumia INTERNET DOWNLOAD MANAGER?
Bado najiuliza hivi ni kwanini wanawake hamuwezi kutunziana siri ?..Urafiki wenu ni wa mashaka sana yani hamnaga kifua cha kutunziana mabaya na mazuri ya rafik zenu..why?
Binafsi nimeshuudia pale ambapo mpenz wangu aligombana na rafik ake wa karibu sana wakaanza
kutoleana siri zao ambazo kwa...
Huu uzi ukipata wachangiaji wa kutosha nitaleta mrejesho kuhusu yule msichana aliekuwa mpenzi wangu lakin tuligombana na kuachana nae kwa matusi na maneno ya kashfa..stay tuned!!
Hebu chukulia imepita miaka takribani 15 au 20 kabisa toka uhitimu masomo ya ngazi flani mfano: elimu ya sekondari au chuo
Lakini ghafla siku za karibuni unaota ndoto umerudi tena masomoni tena sio kwa kuanza upya ni katikati ya muhula wanafunzi wenzako wakiwa tayari wamesoma topiki nyingi...
Kweli nimeamini mapenzi hayana formula unakuta mwanamke yupo kwenye mahusiano na lijamaa ambalo ni likorofi na libabe ambalo halimjali wala kumpenda kwa dhati hapo hapo kuna mwanaume mpole na mkarimu ambae anahangaika kuuteka moyo wa huyo msichana lakin msichana bado anamkataa mwanaume mpole na...
Katika kazi ambazo inasemekana zina mshahara mnono basi mojawapo ni kazi ya UDAKTARI..
Cha kushangaza ni maisha ya kuunga unga wanayoishi madaktari yaani unaweza kukutana na daktari mtaani ukadhani ni kichaa unakuta kavaa nguo hazijanyooshwa, viatu vichafu, nywele hajachana yaani yupo ovyo...
Habari wadau kwa yeyote anaefahamu music player yeyote ya android au windows ambayo inaweza kuplay nyimbo kabla haijafika mwishon nyimbo nyingine inaingia hapo hapo
Nimeachana na aliekuwa mpenzi wangu lakini hatujaachana kwa amani tumetukanana sana na kutoleana maneno makali ambayo hayafai kuandikwa hapa.
Lakini moyo wangu bado unampenda huyu msichana na nilijitutumua kurushiana naye maneno makali ili asinione zoba maana amezidisha dharau sana kiasi kwamba...
Hodi wanajamvi
Naombeni msaada wenu mwenzenu nasumbuliwa na aleji ya Samaki kwa kifupi siwezi kula samaki hata harufu yake hunifanya nijisikie kichefu chefu
CHANZO CHA TATIZO
Tatizo hili lilinipata miaka 3 nyuma kuna msichana nilimpa ujauzito hivo akawa na aleji ya samaki alivoniambia tu...
Habar za leo wakuu
Simu yangu (iphone 5s) imepasuka kioo hivo nahitaji kama kuna mtu ana simu kama hii yenye icloud aniuzie ili nitoe display niweke kwenye cm yangu
Budget yangu ni efu 50
Habari za mida hii
Kuna baadhi ya watu wanaamini eti kuna wapendanao wakiishi pamoja kwa muda mrefu au wakiwa na mapenzi ya kweli kati yao hupelekea sura zao kuanza kufanana
Je ushawahi kukutana na wapendanao/wapenzi waliofanana sura zao hadi ukahisi ni ndugu wa damu??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.