Tunawajua nyie mko wengi na mnasubiri kurithishwa na baba zenu basi ,hakuna lolote.mtaanguka tu hata kama sio leo mafisadi wakubwa nyie.I HATE CCM I HATE I MEAN IT!!!!!!!mmewapoteza watz wengi sana kwa njaa zenu!!!
Jamani nchi hii kwa kweli lazima tukubaliane CCM wakati wao umekwisha,tangu 1977 hakuna jipya walilolifanya na hakuna hata kiongozi mmoja wa CCM anaefaa kutuongoza kwa sasa kwa sababu kama angekuwepo basi tungeshamuona kajiondoa kabisa CCM na kuhamia upinzani.
nadhani kiongozo yoyote wa upinzani...
Dah,afu huyo mjamaa ni Waziri......na eti inasemekana ni mshkaji wake jamaa na alikuwa akimtafutia vidosho basi ndo akapewa ka jift box hako...ka u waziri.
kazi kwenu wana ukonga/segera......................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.