Search results

  1. J

    Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

    Dah!!! Naona dalili mbaya sana kwenye mdahalo huu... Zomeazmea naiona costa 4 zmeshusha watu cjui wamtka mkoan au laah
  2. J

    Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

    Ndugu nani ka kwambia zanzibar n nchi?? Zanzibar n kama ka mkoa hvi ka SIMIYu na raisi wake n kama head prefect aliyekosa mamlaka mbele ya mkuu wa shule (Tanzania Bara)
  3. J

    Fedha za field zimekuwa majanga !

    Mkuu EXCEl: ukipewa laki nne na nusu kwa miezi miwili na ushee utabakisha kias gan?. Udsm( mabibo hostel), nauli to and fro tsh.800, brk fast 1500, lnch 2000, dinner 2000, maji (mchna na jion) 1200, sabuni, vocha atlst 1000 per 2dyz, pango 750 per day, bado hpo crdb wananakato yao. Kumbka loan...
  4. J

    Nifuate malengo yangu au niisikilize jamii ?

    Soma kile kinachokusukuma moyoni ucje ukaja ukajuta mbeleni kwa kile ulicho ambiwa usomee wakat hayakua n malengo yako. Ukifanya kitu unachkipenda lazima utakiheshimu na kukifanya kwa jitihada hekima busara na weledi ili uweze kuktimiza. BA in physics ni big deal sana, Taifa linahtaj waalimu wa...
  5. J

    Ushauri: Human resourse vs Public administration

    Nashhukuru mkuu.. Ngoja nikapambane. Vp sokoni ajira zake zinanunulika?
  6. J

    Ushauri: Human resourse vs Public administration

    Nashhukuru mkuu.. Ngoja nikapambane.
  7. J

    Je, umewahi kujutia shahada uliyosomea? Njoo tushauriane!

    Mm naona hakuna bora zaidi kuliko zingine ila kila kozi ila umuhimu wake katka mazingira yake. Tatizo n ubovu wa mfumo wa kiutawala na elekezi ulio jaa ukanjanjakanjanja katika kuaanda mazingira ya wasomi kukitumia kile walichokisomea. Cha msingi ata kama ulisoma coz ambayo uptkanaj wake wa...
  8. J

    Ushauri: Human resourse vs Public administration

    Mkuu mambomoto; course yangu ina specializatn 3 yaan politics, public administration and human resources.. Politcs si ipendelei kabisa ndungu ndo maana naomba unshauri wap n bobee kati ya HR na PA
  9. J

    2015 Hii Hapa Kwenye Kona Wanasiasa Mtwara Tupo Tunawangoja

    usawa katka maendeleo ndio kitu wanamtwara wanakililia mpka kesho kwann wanajinufaisha wao tu na mikoa yao kama dsm na arusha? Hatukatai rasimali ya mkoa wetu kutumia na waTanzania wote bali tunatka shughuli zote za uzalishaj gesi zfanyke mtwara na sio kuisafrsha Dar es salaam
  10. J

    Ushauri: Human resourse vs Public administration

    Habr zenu wanadungu.. Naombeni ushauri juu ya course hizo mbili yaan Human resourse na PA. Nahtaji kufanya specialization katka course mojawapo kat ya hizo
  11. J

    msaada:

    Naombeni ushauri wanajamii kuhusu human resourse course nataka kufanya specilization ya course hiyo mwaka wa pili UDSM.
  12. J

    msaada:

    Naombeni ushauri wanajamii kuhusu human resourse course nataka kufanya specilization ya course hiyo mwaka wa pili UDSM.
Back
Top Bottom