Ndugu wanajamiiforum;
Nimepitia kwenye website ya 'MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING' pamoja na ile ya NACTE nikakutana na majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kozi za ualimu ordinary diploma ambao wanatakiwa kuanza kuwasili sehemu husika walikopangiwa leo tarehe...
Natafuta chuo cha unesi diploma eneo la dar es salaam.Tayari nina certificate ya unesi kwa hiyo kwa sasa natafuta chuo cha kujiendeleza kwa diploma maeneo ya dar!Kwa mwenye kujua chuo chochote kinachotoa kozi tajwa kwa level ya diploma basi anisaidie kunipa taarifa!
Natanguliza shukrani zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.