Hii inaonesha jinsi gani viongozi wetu hawapo serious katika kazi,ndo huyo huyo amesema huwa natembelea magereza yote nchini,aliulizwa pia ni magereza mangapi mapya yamejengwa?Alichojibu ni "Kila mwaka tunajenga gereza jipya",ila hakujibu ni mangapi ni yapo sehemu gani hajui........sasa huyo ni...
Mimi sioni kama kuna ni tatizo,kwani mashoga tu ndo wanaofanya hivyo?Hayo ni maneno ya mkosaji.if you dont feel kufanya kama anavyofanya Kanumba acha.Lakini hiyo ni moja ya usafi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.