Hawa konyagi hizi alcohol % zao nashindwa kuzielewa au kuna feki hapa.
Unakuta wameandika hivi
alcohol 35% vol. ,nyingine wameandika
35%ABV
sasa hapa ndo nashindwa kuelewa.
Jana katika mizunguko yangu nilipita kwenye gulio/soko nikawa nimenunua nguo za mwanangu ila nilivyo fika home mdada wa kazi katika harakati za kutaka kufua akakutana na hii noti ya Omani....100 Baisa. Je hizi pesa za mitumbani huwa ni halali au ni feki???
Ni kwamba nilikuwa na mahusiano na mdada mmoja hivi ambaye hatukuwa na malengo ya kuja kuishi wote na kila mmoja alijua hilo lakini tukiwa ndani ya mahusiano aliniambia ni mjamzito na hakutaka kutoa mimba,nikaona isiwe taabu nikamwambia nitamlea mtoto.
Baada ya mda,wakati mimba ikiwa na miezi...
Kumekuwa na vumbi ambalo si la kawaida linalo toka ndani ya mgodi wa bulyahulu ambalo linakuwa ni vumbi jeupe ambalo ukivuta hewa yake unahisi pua zinawasha sana.Hali hiii imetokea baada ya makinikia kukatazwa kwenda nje ya nchi,sisi kama wananchi wa kakola tunaumia na hili vumbi.tumepeleka...
Ajali mbaya imetokea asubuhi hii mkoa wa Shinyanga eneo la Kizumbi, Mbuyuni kwenye kona.Basi la la kampuni ya Allys kutoka Mwanza limegongana na Coaster inayofanya safari kati ya Isanzu na Kahama.
Watu zaidi ya 60 wamenusurika kifo huku 26 kati yao wakijeruhiwa vibaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.