Jamani hivi kumbe ukiingia bifu na Clouds unakuwa na bifu na wafanyakazi pia? Millard Ayo karibia kila video mpya ya wimbo huwa ana upload kwenye website yake na kwenye Ayo TV lakini hii video ya The Ndindindi hakuweka kwanini sasa???
Mi sielewi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.