Nyinyi Tanesco ninyi mimi siku ya nne hii sina umeme mita IMETEMPle ila kimbembe kupata hiyo no ya kuclear mita ....kila utakapopiga wanakwambia case ipo kwa muhasibu Jamaniii[emoji19] case no 3601 kituo gongolamboto nipeni hiyo number.
Alafu kauli mbovu mbovu most wanatoa wale wa KIUME wa kike wana afadhali kidogoo yaani wa KIUME akikupokelea simu jiandikie kukwazikaaa. Kuna mmoja anaitwa Jovin huyo afadhali kuna mwingine huyo mpka kujitambulisha hapendagi kabisaaa yaani he is worse. TANESCO mna ubia Naye?
TANESCO LINI MTANDAO UTAREJEA? NINA SIKU YA TATU SASA SINA UMEME ,MITA IMETEMPLE NIMETUMIWA NO ZA KU CLEAR KILA NIKIWEKA NAAMBIWA REJECTED(SIKU YA TATUU HII). MAFUNDI WA TANESCO WAMEKUJA WANATOA MAJIBU SIMPLE "SYSTEM IPO CHINI IKIKAA SAWA TUTAKUTUMIA NO ZINGINE UWEKE"[emoji3166]HIYO SYSTEM...
Gongo la mboto huduma kwa wateja mna shida ganiiiii jamaniii ? Yaani mpka tunapiga Ilala ndio mtafutwe ninyi kweliii? .tane usiku ukiwapigia ndio kabisaa jiandikie maumivuu ,hamtoi huduma masaa 24?
Wakati wanaanza kuzigawa nahisi walitegemea Sisi' kupiga kelele zianzie kwetu [emoji38], wameona tupo kimya wanaanza kuja na mkakati mwingine ili mradi tu tuzipate. HATUZITAKI pambaneni nazo wenyewe [emoji16]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.