"Me ninajiuliza aliyemshauli huyu mwanasiasa kijana kwenda mahakamani naye akukabari"
je alifikilia nini cha msingi me naona kama aliwapigia magoti viongozi wake arudi tena wakae meza moja kabla hajapotea kama walivyotea wengine, naamini wazee na wanachama waliomfukuza watamsamehe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.