Habar zenu wakuu
Nauza simu tajwa hapo juu ipo vizuri sana na haina tatizo lolote
Simu nikama mpya
BEI 130000
Nipo DAR ES SALAAM
MAWASILIANO NAMBA 0656899091
Habari zenu wakuu
Nauza vifaa tajwa hapo juu
Hp adapter imetumika mwezi mmoja tu bei ni sh 20000/=
DVD rom yaani mlango wa computer pia upo vizuri unaweza kuutumia kuban cd mbalimbali bei ni sh 25000/=
Nipo dar es salaam
Mawasiliano namba 0656899091
NB:kisimu changu hakina uwezo wa kuapload...
Nauza simu aina ya Samsung Galaxy S
Samsung-1897
Internal memory Gb 16
bei kitongaaaa 60000/=
Nipo dar cm ipo kwenye hali nzuri sanaaa
Mawasiliano namba 0656899091
Picha nimeshindwa kuziweka hapa
Habari zenu wakuu
Nauza laini yangu ya uwakala wa Tigopesa bei 200000/=
Laini ina viambatanisho vyote muhimu kama tin number na leseni ya biashara ivyo unaweza kuibadili kua kwenye jina lako
Nauza kwasababu nina shida ya haraka
Nipo dar es salaam mawasiliano namba 0656899091
Habari zenu wakuu
Nahitaji kijana anaeweza kufanya kazi zote za salon kama kunyoa
na aweze kutumia magic,black,wave nk
Salon imekamilika ipo Dar es salaam,Tandale chama eneo limechangamka sana
Kwa mawasiliano namba 0656899091
Habari zenu wakuu,
Fremu inapangishwa ipo maeneo ya tandale chama
Fremu ni kubwa na sehemu ilipo fremu kumechangamka sana kwa sababu ipo karibu na kituo cha mabasi na pembezoni kuna kituo cha madereva wa bodaboda
Kisimu changu kimeshindwa kuapload picha ili muweze kuiona
Kodi ni shilingi...
Hellow ndugu marafiki na jamaa wa JF
Nina shilingi 50,000/= cash na simu aina ya blackberry ambayo housing yake imeisha ila bado iko poa sana na nimeivisha kava so uwezi jua kua housing imeisha mpaka uifungue
Nimetoa ofa yangu kama haikulizishi wewe pita tu ukiona inakufaa nawe nipe ofa yako...
Habari ndugu wana jf
Samahanini maana nimepata tetesi kua game supermarket mliman city pamoja na nakumat wametangaza nafasi za kazi ila sina uhakika ni kazi gani na wanahitaji watu wenye sifa gani
Hivyo basi nilikua naomba kama kuna mwenye taarifa kamili anijuze
Ahsanteni na mchana mwema kwenu
Habari zenu wana JF
Naomba kuuliza kwa mwenye kufahamu mahali ambapo kuna kiwanda cha kutengeneza mifuko ya plastiki au ya nailoni kwa hapa Dar es salaam
Ahsanteni
Habari zenu wana jamii wenzangu,
Ningependa kuwataarifu kuwa kwa kinadada wanaohitaji nguo mbalimbali za kike pamoja na viatu vya kike vinapatikana kwa bei ya rejareja na bei ni nafuu kabisa.
Kina kaka pia mnakaribishwa ili muweze kuwanunulia wapenzi wenu ili kudumisha upendo, pia napokea...
Kama inavyojieleza hapo juu nauza simu yangu aina ya blackberry curve 8520.
Aina tatizo lolote na bado ipo kwenye hali nzuri kabisa,
Nauza kwa sababu nimepata simu nyingine ya kutumia,
Nimejaribu kuweka picha hapa ili muione ila imeshindikana hivyo kwa atakaehitaji picha anicheki whatsapp...
Habari zenu ndugu?
Naomba mwenye kujua vyuo vilivyotangaza nafasi za masomo kwa mwaka 2015/2016,kwa kozi za biashara ningependa viwe vya Dar es salaam
Ahsanteni
Bandugu nna dadaangu ana umri wa miaka 23,amesomea mambo ya hotelini anatafuta ajira,anapatikana dar es salaam pia ana uzoefu wa mwaka mmoja.Kwa mwenye uwezo na nia ya kumsaidia mawasiliano namba 0656899091,nawasilisha
Habari zenu wana jukwaa,mimi kijana wa miaka 21,nimejiajiri natafuta mchumba wa kiislam ambae atakuja kua mke wangu umri wake ni 18-24,awe anaejielewa na mchapa kazi kama ukijiona unazo sifa unakaribishwa 0656899091.NB:ni kwa walio na huitaji tu,pia kama ujaelewa pita waaache watakaoelewa...
Habari zenu wakuu kwa anaeweza kunisaidia ili nipate ajira ndugu zangu nitamshukuru sana mm ni kijana mwenye umri wa miaka 21 nipo dar elimu yangu kidato cha nne namba yangu ya cm 0656899091
Habari zenu wakuuu naitaji bodaboda ya bei rahis kabisaa maana cna kitu mfukoni bajet yangu ni laki tano kama unayo ni pm tufanye biashara nipo dar asanteni sana
Habari zenu wakuu?
Ni hivi katika mapenzi kuna baazi ya vitu ambavyo autokaa uvisahau kutoka kwa mpenzi wako je ni kitu gani ambacho autokaaa ukisahau kutoka kwa mpenzi wako?
Mimi binafsi sitosahau mwanya wake wewe je?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.