KWANZA, kweli umerogwa sana. PILI, andika wosia tayari maana maisha yako sio marefu, TATU, kapime afya. NNE, kamwone daktari kwa ushauri (wataalamu wa tabia). Nakuhurumia sana maana hio tabia ni mbaya saana- hakika unachezea maisha yako. Kaa chini halafu ufikirie malengo yako katika haya maisha...
Nakushauri uachane nae kabisa, huyo ni' kichangu', chukua hatua maana mtu kama huyu inawezekana tayari!!! Mimi nionavyo ni kwamba yeye hakupendi ila mdomoni tu. Ni vema utambue kuwa mbuzi hutembea na mbuzi na sio kondoo, pengine na wewe ndo zako ndo maana unaona ugumu kumwacha. Mchezea shilingi...
Tanzanians are not afraid at all. In fact they are intelligent and very skillful in their duties. We complain due to the level of corruption from our neighbors. We are better off than kenyans in all aspects except bragging & tribalism.
Hapa hakuna majasusi. Waliopo ni informers tu. Kwanza jasusi huwezi kumjua kwa sababu anafanya kazi kwa usiri mkubwa, hio ni sifa ya kwanza. Pili, ni 'intelligent' sana, anajua mambo mengi nk. Hapa watu wanaona ujiko kujulikana tu ni informer.
Mimi ni mtu wa misimamo sana lakini katika hili najiona nimepigwa bao sielewi ni mapenzi tu; KWANZA POLE SAANA. UMEKUWA NA UHUSIANO NA WASICHANA WATATU KAMA ULIVYOELEZA. NI VEMA UELEWE KUWA HAYO YANAYOKUSUMBUA SIYO MAPENZI MBALI NI TAMAA(LUST). TAMAA YA MWILI NI TATIZO KUBWA NA ILI KUPONA NI...
Jilasi ni ugonjwa wa kisaikolojia, unatokea kwa watu wasiojiamini sana sana. Ni vema kuchunguza mizizi yake na kama huwezi kujikwamua, tafuta msaada wa kiroho kwa kakobe au kwa mzee wa upako; MAOMBI.
Pdidy alichosema ni kweli hasa. Mlokole hawezi kumwoa mwislamu! nk. Ndoa ni ushirika. Mnakua mwili mmoja...Maana yake mnafanana kila kitu, kuanzia mnavyoabudu nk. Kuweni makini jamani kwani wasichana wapo wengi saaana. Kama ni mkristo utapata kanisani nk. Huo ndio ukweli hasa.
Mungu akubariki Pd.
Sikiliza, Kuna Financial Training Centre ambao wapo Osman Towers Ghorofa ya kwanza. Ni wazuri maanake vijana hufaulu vizuri. Hapo ni zanaki street oposite na elia complex karibu na CBE(Chuo cha biashara). Kama hela sio tatizo, karibu!
Hapana, yalikuwa mawazo yangu, aulizae sio mjinga, Mjinga ni anayejifanya anajua kumbe hajui. Sio kwa macho mbali mawazo yenu yanaonekana yanapendeza kwa thread zenu. Nashukuru na Mungu akubariki!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.