Dhamira njema husukuma mambo mema kutokea. Dhamira njema huungwa mkono na wote wenye nia njema. Dhamira njema husababisha mtu kutenda kwa ubunifu na udhati wenye kumaanisha bila kukata tamaa kwa yale yaliyo katika mipango kufikia uhalisia. Dhamira njema haizuiliwi. Dhamira njema ni wazo la Mungu...
Ijumaa tarehe 23 Machi kuanzia SAA 2 hadi 4 Usiku kutakuwa na hafla na kipindi maalumu kupitia STAR TV cha kuchangia chadema ili kukiwezesha chama kufanya harakati na kazi kubwa iliyopo mbele ya siasa ya ukombozi.
Hafla hiyo itaongozwa na Mhe Freeman Mbowe (MB), Dr W Slaa na wabunge wa chadema...
[Katibu mwenezi wa CDM Wilaya ya Kilosa Bw. Raymond Mlama pamoja na mjumbe mmoja wameamua kuhamia ccm kwa kile walichoeleza kuwa wameona ina sera zinazoridhisha na kuwalenga wengi].
UKWELI WA HILI NI KUWA CHADEMA INAIMARIKA ZAIDI. Hawa wanadai wanarudi CCM ni wanafiki waganga njaa na hawakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.