asee hii kali lakini inawezekana uyo baba alipigwa kibuti na uyo binti sasa anataka amkoseshe bahati ila chukua tahadhari 'llinda kiuno' usinaniliu naye kamuulize kwanza ukweli wa mambo nashangaa lakini inakuaje hamna mtu ata mmoja mji huo anaoishi binti aliye wahi kukutonya ilo make friends na...
:dance: topic imenikumbusha mbali, siku moja nilikua na wazungu wakasema wanaume wao hawatairiwi mie nikawa SHOCKED wakasema haina umuhimu na ni kutesa watoto ambapo unavunja haki ya binadamu mie nikabaki :jaw:
anyway mawazo yangu nafikiri kwanza mulize yeye mwenyewe kwanini bado lipo, ni mila...
Inawezekana maana yake imeanza kupotea lakini bado ina umuhimu wake, kwa wanao heshimu ni alama ya upendo mkuu na kwa wasio heshimu atleast wanajua kwamba wanaiba vya watu so wanakua waangalifu
Wandugu yalinikuta, mtu alisema kishaachana na mtu aliekua naye afu wiki chache baadae ananitumia msg mie ya kumwambia huyo x kwamba amechoka waachane,,mie :confused2: ,,afu akatuma msg ati hiyo sio msg yako...hahaaa watu jamani mmh...nikashukuru mungu nikamrudishia hiyo msg yake afu nikamwambia...
duh boyfriend hakutafuti mwezi mzima!! naomba huyo jamaa aachwe dakika hii tena asijisumbue ata kumjulisha yani ata sh. 40 ya msg asipoteze kutumia msg kumjulisha lo:mad2:h inaudhi sana
Jamani msiwaseme sana wanafunzi wa kike, dada yangu alifundisha shule ya wavulana nayeye alipata shida sana
afu na kamwili kake kadogo basi ile mijanafunzi mikubwa ilikua inamuonea sana, siku akichelewa kutoka shule inabidi aombe escort kwa
kwa walinzi au walimu wa kiume.,,nafikiri japo yote...
Naomba niwaulize kaka zetu huwa mnafikiria nini au mnajipangaje kwenda 'kumtokea' demu..
kwasababu inafurahisha sana wakati mwingine mtu anakwambia kitu kama 'sista nimekumind naona unalipa sijui unafaa kuwa demu wagu'...:lol: dooh kweli nikicheka nakuwa nimekosea
Kina dada please share...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.